...

Ubuyu Lyrics by ALIKIBA


Yeah

Aaaaahh

Mmmh

Ubuyu umenikaba

Napaliwaa aaah

Aah ayo maah

Aah

Yule mama, mwenye nyumba

Yule mama aah waa mamaa

Yule mama anapenda sana vitoto

Yule mama anawaharibi watoto

Yule mama anapenda sana vitoto

Yule mama waa mama aaah

Anafungua kila siku hadharani

Anabana nao vichochoroni

Ana nyumba ila kwake hakai

kila siku anao vichochoroni

Wananmpeleka mpaka chooni

Wananmpeleka mpaka sokoni

Wananmpeleka mpaka chuoni eh

Uyoo uyooo uyooo uyooo

Aaah

Na yule mama Ibraaaahh

Wa Pale chini mpakani eeh

Ndani wana watoto wawili

Si wajamaa ni wa jirani

Wanaongozana mpaka chooni

Wananmpeleka mpaka sokoni

na si kama si hatuoni

Wanapokezana masikami

Huyo, huyo, huyo

Huyo, huyo, huyo, huyo, huyo

Huyo, huyo, huyo

Huyo, huyo, huyo

tumeto tongozana jana tu

Eti leo birthday yake

Simu za usiku kununuliana luku

na Hatumi mita namba yake eh

Si aseme kama yuko sokoni

Maana vimacho macho, macho mfukoni

Si aseme yuko sokoni

Tumpeleke moto shimoni

Huyo, huyo, huyoo

Huyo, huyo, huyo, huyo

Huyo, huyo, huyo

Huyo, huyo, huyo, huyo

Ubuyu umenikaba aaah

Leo naumwaga hadharani eh

Watu wanatabia mbaya

Wanamzidi hata shetani

Watu wanatabia mbaya ah

Wanamzidi hata shetani eh mh

Wote motoni

Sijamuona wa peoni

Wote motoni

Sijamuona wa peponi

Si aseme yuko sokoni

Watch Video

About Ubuyu

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright : ©2025 Kings Music Records.All Rights Reserved.
Added By : Farida
Published : Jul 04 , 2025

More ALIKIBA Lyrics

ALIKIBA
ALIKIBA
ALIKIBA
ALIKIBA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl