...

Chibaba Lyrics by ALIKIBA


Yeah

Ooh right

Aaah aaah aah aah aah aah

Yeah mama

Mwenye sura ya makokoto

Kumpata ni protocol

Kame jawa na madeko

Aaah kanamadoko

Kwa kuringa kanaringa

Kana mambo ya kitoto toto

Mwinzenu mi ndio napenda

Ugonjwa wangu mi napenda

Kakicheka mi nalia

Jamaa kananivutia

Mali yangu ikijaliwa

Mi nitachanganyikiwa

Kakicheka minalia

Minalia kananivutia

Mali wangu ikijaliwa

Mi nitachanganyikiwa

Aaaah

Oooh nana nanaaa

Bi mzuri huyu

Nampenda huyu huyu

Oooh nana nanaaa

Mali yake roho safi ooh oh

Oooh nana nanaaa

Bi mzuri huyu

Nampenda huyu huyu

Oooh nana nanaaa

Mali yake roho safi ooh oh

Roho safi ooh

Chibaba chibaba

Mmmhh

Akanza nita chibaba

Chibaba ooh chibaba

Name namwita chimama

Chimama wa mboga saba

Wamoto shape jicho mpaka shingo

Yani dah mashallah

Sitaki tena kua single

Kakicheka mi nalia

Jamaa kananivutia

Mali yangu ikijaliwa

Mi nitachanganyikiwa

Kakicheka minalia

Minalia kananivutia

Mali wangu ikijaliwa

Mi nitachanganyikiwa

Aaaah

Oooh nana nanaaa

Bi mzuri huyu

Nampenda huyu huyu

Oooh nana nanaaa

Mali yake roho safi ooh oh

Oooh nana nanaaa

Bi mzuri huyu

Nampenda huyu huyu

Oooh nana nanaaa

Mali yake roho safi ooh oh

Roho safi ooh

Watch Video

About Chibaba

Album : (Single)
Release Year : 2024
Copyright : ©2024 Kings Music Records.All Rights Reserved.
Added By : Farida
Published : Sep 25 , 2024

More ALIKIBA Lyrics

ALIKIBA
ALIKIBA
ALIKIBA
ALIKIBA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl