BEST NASO Nilie vipi Kayombo cover image

Nilie vipi Kayombo Lyrics

Nilie vipi Kayombo Lyrics by BEST NASO


Sitasahau mwaka 2007 nikiwa mtaani nasota sota
Tumechoka kama chokoraa
Na mwanangu wa damu chifu maker
Ukaona bora utusaidie

Ulipogundua vipaji vyetu ukapigana kwa moyo na roho
Ukatukutanisha na Dj Rwarumu
Wimbo wetu wa kwanza uliitwa "Zaina"
Na waTanzania wakaupokea 
Wimbo wetu wa pili uliitwa Tuma
Tuma ringa ndo ikatoboa 
Na maisha yakachange kidogo
Walotudharau wakapungua 
Tukajivunia Kayombo
Na kila ofisi tukaingia tukavimba tukatamba sana

Wasio tujua wakatujua 
Show yangu ya kwanza ilikuwa Congo
Ulifurahi sana ukaniambia
Naso kwa sasa umekuwa

Ongeza bidii usijepotea
Wakati huo wimbo ni mwamada
Ninafanya hapo mtaaani nalia 
Niliporudi Congo hatukuchelewa
Tukaachana rudi kijijini

Ikawa balaa tukajipongeza mate bila nakotra
Na viwanja vyote Musoma
Muda wote ulipenda kucheka
Sitosahau tulipokuwa na Bongo

Na marafiki Kevin na Mapambano
Eti hatutakuona tena
Dunia kwangu naona imekuwa mzigo
Mchoraji mwenzangu ni wewe Kayombo

Hivi ni nani nitamtaja tena
Moyo wangu umejaa simanzi kuondoka
Baba yangu mlezi 
Tutakukumbuka, tutakuenzi
Tutakukumbuka, tutakuenzi
Tutakukumbuka, tutakuenzi
Tutakukumbuka, tutakuenzi

RIP Kayombo Doctor

Watch Video

About Nilie vipi Kayombo

Album : Nilie vipi Kayombo (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 29 , 2021

More BEST NASO Lyrics

BEST NASO
BEST NASO
BEST NASO
BEST NASO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl