...

Tisa Lyrics by BEST NASO


Ni best yule mwana wa naso

Nah ii ni yako wewe jama kimeniponza kiherehere

Na sitorudia kupenda tena kila mchumba

Sasijana nimekutana na kababy hako

Mama yangu sijui ni karoboti

Au kajini jaman tutakuja kufa

Nkakachapa swaga mi si nmelo wa madanga

Hakakugoma yani mseleleko yani kitonga

Kimenikoma kilanga jamani unaweza kufa

Eti mtu gani anataka kila saa

Na ukimpa shughuli yale ni balaa

Inawaka moto

Jamani nimepindishwa tisa inawaka moto

Jamani tisa inawaka moto

Ehh inawaka moto

Usione nasinzia ovyo nimekesha

Jana nimekesha

Jamani kilichonikuta nimekesha

Sijalala hata kidogo nimekesha

Jamani nimekesha

Nimekesha miee

Oohhh konii

Oohhh konii

Oohhh konii

Kina dada wanapenda konii

Mbomboo mboo mboga za majani

Mbo mbom mboo ni nzuri kwa ugali

Rashidi motto wa shabani kataka kuoa

Mtoto mzurii anita, michango ikapita

Ohh majita mambo ya mahali

Kalipa ndoa ikapangwa

Siku ya saba anita akagoma

Anasema eti mshkaji ni noma

Eti mtu gani anataka kila saa

Na ukimpa shughuli yake ni baba

Mpaka inawaka moto

Jamani nimepindishwa tisa inawaka moto

Jamani tisa inawaka moto

Ehh inawaka moto

Usione nasinzia ovyo

Jamani kilichonipata nimekesha

Sijalala hata kidogo nimekesha

Jamani nimekesha

Nimekesha miee

Mwenzenu kilichonikuta nimekesha

Aiyoooo lololoo

Maboga hayo maboga hayoo, kwetu yanaliwa mboga

Lakini mjini fasheni, kwetu yanaliwa mboga

Haya kipalangoto ya moto, kwetu yanaliwa mboga

Oya ukimshika mtie ngoto, kwetu yanaliwa mboga

Watch Video

About Tisa

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : May 21 , 2025

More BEST NASO Lyrics

BEST NASO
BEST NASO
BEST NASO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl