Wanga Lyrics by ABBAH


Tunaua wanga, tunaua 
Tunaua wanga, tunaua 

Wanga mtakoma nimepata doh
Shaye life ona mbona you already know 
Wanga mtakoma nimepata doh
Shaye life ona sasa you already know 

Wanga mtakoma nimepata doh
Shaye life ona mbona you already know 
Wanga mtakoma nimepata doh
Shaye life ona sasa you already know 

I've been going round the city everyday
Flying license angry belly everyday
Now I got the money spend it all in lavish way
Now I see them big discussing feelings for ways

Na wangali bana, ikashindikana
--
Huwezi kushindana nami
My nigga nitakuacha njiani
Namwamini Mungu si shetani

Tunaua wanga, tunaua 
Tunaua wanga, tunaua 
Tunaua wanga, tunaua 
Tunaua wanga, tunaua 

Wanga mtakoma nimepata doh
Shaye life ona mbona you already know 
Wanga mtakoma nimepata doh
Shaye life ona sasa you already know 

Nimetamani kuwa famous toka mdogo futa kamasi
Huku bwashika mkasi mdogo mdogo kukata nyasri
Steam za nyasi tulivuta kwa karatasi
Songea huko basi mbona unanigasi gasi

Oooh yeah nilishagombania ukoko
Toka mdogo nilionekana kama kocho
Oooh yeah mixer ya kuokota makopo
Kupendeza mpaka fuko kuno mtoko

Nishavaaga pants ugoroka
Mara shati imetoboka
Leo nanyoosha pasi jeans inanyooka
Nanukia unyunyu "kss kss kss" nanyuka

Tunauwa wanga, tunaua 
Tunauwa wanga, tunaua 
Tunauwa wanga, tunaua 
Tunauwa wanga, tunaua 

Wanga mtakoma nimepata doh
Shaye life ona mbona you already know 
Wanga mtakoma nimepata doh
Shaye life ona sasa you already know 

Nina misumari mbao zipo leta nyundo tutoboe
Msala msala leo wanga nachapa sioni hatari
Nilifundishwa kuloweshwa nisilowe
Nikila hasara nashushaga bapa

Wote wageni hata wenyeji wamealikwa
Pozi hatari tatizo ni mpiga picha
Ukiwa na wivu hatusupport that's it
Ni sawa kuwa na mpango wa kando
Anacatch feelings za main chic, check check

Tunauwa wanga, tunaua 
Tunauwa wanga, tunaua 
Tunauwa wanga, tunaua 
Tunauwa wanga, tunaua 

Wanga mtakoma nimepata doh
Shaye life ona mbona you already know 
Wanga mtakoma nimepata doh
Shaye life ona sasa you already know 

You know we made that shit
They call me Byter Beast
Mnakesha mkiroga si tunaplay like this
You wish to ball like we, you won bolati
Vyote vitafanana ila sio akili

Huh tunafanya for money hatufanyi for show
Party la kikubwa mpaka majogoo
Nishasota sana nikiwaza before
Abbah kwenye map you already know

Tunauwa wanga, tunaua 
Tunauwa wanga, tunaua 
Tunauwa wanga, tunaua 
Tunauwa wanga, tunaua 

Tunaua, woza
Tunaua, sinza
Tunaua, woza

(The Mix Killer)
Abbah

Watch Video

About Wanga

Album : The Evolution (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Abbah Music.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 26 , 2021

More lyrics from The Evolution album

More ABBAH Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl