Chibonge (Remix) Lyrics by ABBAH


Kama kupenda maradhi, niko hoi taabani
Na kama kutangaza nakupenda kosa, nifungwe
Kama kupenda upofu, mi sioni na sisikii
Ndo maana natangaza nakupenda, moyo wangu usiangamie

Sichepuki makona kona, na upona niugue
Ukifika mi napona pona
Na rangi yako ya black me nakuona white
We kifupi nyundo, nakuonaga mnara
Anapo ona dawa, mwepesi

Mmh aaah japo chii chii, chibonge
Aah chi chi chi chibonge
chi chi chibonge
Aah chi chi chi chibonge

Aah minyama tu, 
Akipita minyama
Anatingisha minyama tu, 
Vile akipita minyama

Aah minyama tu, 
Akipita minyama
Anatingisha minyama tu, 
Vile akipita minyama, minyama

Shepu ya mabonde mabonde, nimeridhia
Nitakumiliki usikonde, ata nikifulia
Oooh beiby unashoza ng'ombe, mbuzi wanakimbia
Na uwasha mhogo wa jang'ombe leta sufuria

Beiby usijipe stress, wewe kibonge mwepesi
Waruka mpaka sarakasi, samba kareti
unajua eeh,
Hips kiuno shangao za machaini chaini
(beiby you like the ...)
--nyembamba kiuno chako feni
(gyal gyal ---)

Mmh aaah japo chii chii, chibonge
Aah chi chi chi chibonge
chi chi chibonge
Aah chi chi chi chibonge

Aah minyama tu, 
Akipita minyama
Anatingisha minyama tu, 
Vile akipita minyama(minyama)

Mwenzako mi napendaga vibaya, baya baya
Mwenzako mi nina ugonjwa wa moyo, moyo moyo
Mwenzako mi napendaga vibaya
Mwenzako mi nina ugonjwa wa moyo

 

Watch Video

About Chibonge (Remix)

Album : The Evolution (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Abbah Music.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 26 , 2021

More lyrics from The Evolution album

More ABBAH Lyrics

ABBAH
ABBAH
ABBAH
ABBAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl