ZUCHU Naringa  cover image

Naringa Lyrics

Naringa Lyrics by ZUCHU


Sing mmmhh eeeehh
Let sing, comeon eeh

Sioni aibu, kwa kila linalonifika
Mana kukosea ni wajibu
Mola ameshaandika
Na sianguuki, mimi nimechaguliwa
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali
Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu

Raise your glass
Cheers to the Lord

Roho mbaya ubinafsi hajaumbiwa nyungunyungu
Wala mtu mwenye maarifa
Kweli mabaya sikosi, najua mazuri yangu
Mtayasema nikifa aaeh
Unaniona napamdana, kwa tabu na dhoruba
Nilinde virogo vya walimwengu visinifike ng’o
Utadhani wao hawana, umewapa vikubwa
Ila bado hiki kidogo changu kinawatoa rohoo
He
Na sianguuuki mimi nimechaguliwa aahh
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali
Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu

Watch Video

About Naringa

Album : Naringa (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Aug 31 , 2023

More ZUCHU Lyrics

ZUCHU
ZUCHU
ZUCHU
ZUCHU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl