Fantastic Lyrics by PETER BLESSING


Tazama kukinyesha kunanyesha kwote
Hakujawai baki baki
Na kama mwanga wa angaza kote
Sio kwingine kuna taki

Kukuacha mimi kama ndoto 
Fadhili zako za milele 
Ulinipenda ningali mtoto
Matendo yako yashangaza wewe

Wewe kwangu kama dawa 
Nitakuimbia kama kawa
Injili siionei haya
Jukumu langu sitagwaya

You are fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic
Nasema You, fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic

Kazi yako extra odinare
Mapenzi yako kwangu ni attractive
Matendo yako yanifanya nitafakari
Hivi wanijua toka tumboni

Uliniokota nikiwa chini
You are fantastic
Ukanifanya kuwa mimi
You are fantastic

Lord, Lord Lord nashangaa wanipa more more more
More love
Lord, Lord Lord nashangaa wanipa more more more
More love

Wewe kwangu kama dawa 
Nitakuimbia kama kawa
Injili siionei haya
Jukumu langu sitagwaya

You are fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic
Nasema You, fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic

You are fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic
Nasema You, fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic

Watch Video

About Fantastic

Album : Fantastic (Single)
Release Year : 2022
Copyright : (c) 2022
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 16 , 2022

More PETER BLESSING Lyrics

PETER BLESSING
PETER BLESSING
PETER BLESSING
PETER BLESSING

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl