SMALLZ LETHAL I'm Offended cover image

I'm Offended Lyrics

I'm Offended Lyrics by SMALLZ LETHAL


Ah I'm offended man
Ah, put your mouth where yuor truth is
KRK kama kawa ah

Oh Ngwai me natumianga
Lakini Ongwae pia umetuangushanga
Tusiianzie mbali cheki Nyanchwa barabara
Aibu kubwa kwa watu wetu wa hapa

Connection ya Bosongo town mpaka Suneka
Na hiyo soko mmekula mpaka mikeka
Na hiyo hela ni 56 million
BBI sitting ati 18 million

Mketi kwenye uwanja mliopewa 90 million
Na kuijenga mkatumia 6 million
Hizi figures zina add up kweli?
Jua lisemwalo linakuanga na ukweli

Wananchi wakikuona wanakuona kwa telly
Yaani wewe kuwa Governor imekuwa ni kejeli
Makeja ndio umejaza tu Nairobi
Umeharibu na hizo tender za marodi

Mimi mkenya halisi I’m offended
Na mimi kama msanii I’m offended
And as a chairman of a club I’m offended
Mi - I'm offended

Mimi mkenya halisi I’m offended
Na mimi kama msanii I’m offended
And as a chairman of a club I’m offended
Mi - I'm offended
 
Mbona wananchi mnaabudu mheshimiwa?
Na mheshimiwa hakuna kazi anafanya
Anakula tu za county na mabibi mmeibiwa
Mmetii ni kama ni gun mmeshikiwa

Waziri wa michezo, waziri una mchezo
Waziri unatunzaje hizi talanta za kikesho
Waziri unasemaje hiyo hall ya wasanii
We umepeana makanisa hapo wanakesha na maleso

Mheshimiwa akili yako sio fresh
Tumengojea vitu Kama tournaments
Na huwezi fanya, concerts huwezi panga
Kisha uje kusema eti wasanii wanakutukana (Aje?)

HUmeshinda ukituambia tungoje, cheki saa
Nipe reason moja mbona nikuite sir
Wahenga walisema tukishikana tunaenda far
Lakini unaenda solo we unataka uende fast

Natumia voice yangu tu the best way I can
Kurepresent mayouth from maboys to mayeng
Na sasa ni miaka tatu tumesmile thru' the pain
We no longer at your service
Everything’s not the same

Shabana Glamour Boys tunakazana kurudi
We unachukua Nevaton mnaenda Kula mbuzi
Tusitumie stadium na hizo reason za kipuzi
Hiyo ni bullshit!

Wasanii ulizieni pesa ya Ruto
Ama mtabaki mkikula tu majuto (Mtashangaa)
Tunataka kuona pesa ama studio
Ati minister of the year haufai kuwa na tuzo

Mimi mkenya halisi I’m offended
Na mimi kama msanii I’m offended
And as a chairman of a club I’m offended
Mi - I'm offended

Mimi mkenya halisi I’m offended
Na mimi kama msanii I’m offended
And as a chairman of a club I’m offended
Mi - I'm offended

Put your mouth where yuor truth is

Najua siku moja labda sitakuwa
Lakini kutokee na wengine na wengine..
Watu wa kusema ukweli man, everytime
Kazi ifanyike bana serve the youth

Serve the people when you are given that POWER!

Watch Video

About I'm Offended

Album : I'm Offended
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 KRK & 90 MUSIC AFRICA Production.
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 03 , 2020

More SMALLZ LETHAL Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl