NANDY Umenifaa cover image

Umenifaa Lyrics

Umenifaa Lyrics by NANDY


(Wanene)
Wakati wa shida, wakati wa shida
Huniepusha huniepusha mimi

Ni wewe ulinipa njia pasipo kuwa na njia
Ni wewe ulinipa chakula wakati wa njaa kali
Ni wewe ulinifuta machozi wakati wa huzuni
Ni wewe Baba aah

Ina mengi dunia na ina siri nzito
Hata magumu yalipotokea hukuniacha mwenyewe
Kwenye sufuri umenitoa fedheha na laana umeziondoa
Furaha na faraja imenijia Yesu

Umenifaa, umenijaa, wakati wa shida 
Umenifaa, wakati wa shida 
Umejibu maombi yangu, wakati wa shida 
Umenifaa, wakati wa shida 

Umetarafu na matendo ya wanadamu 
Kwa neno la midomo yako
Umeniepusha na njia za wenye jeuri
Nyayo zangu zi kwako

Nitatengeneza nawe 
Nitajiimarisha nawe
Kwa kinywa changu nitakiri
Ulivyo uaminifu wako

Ina mengi dunia na ina siri nzito
Hata magumu yalipotokea hukuniacha mwenyewe
Kwenye sufuri umenitoa fedheha na laana umeziondoa
Furaha na faraja imenijia Yesu

Umenifaa, umenijaa, wakati wa shida 
Umenifaa, wakati wa shida 
Umejibu maombi yangu, wakati wa shida 
Umenifaa, wakati wa shida 

Nipokee vumbi nifute
Nishike nisiaibika 
Nipokee vumbi nifute
Nishike nisiaibika 

Wakati wa shida, wakati wa shida
(Umeniepusha na mengi)
Wakati wa shida, wakati wa shida
Wakati wa shida, wakati wa shida
(Yesu unisaidie)

Watch Video

About Umenifaa

Album : Wanibariki (EP)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 African Princess.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 05 , 2021

More lyrics from Wanibariki (EP) album

More NANDY Lyrics

NANDY
NANDY
NANDY
NANDY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl