NANDY Siwezi cover image

Siwezi Lyrics

Siwezi Lyrics by NANDY


Naona kama dunia imesimama nimeibeba kichwani
Kumbe kuachwa inaumaga ivii
Tena nazidi umia nikilalama machozi yanatiririka
Kumbe kuachwa ina umaga iviii we hayaaa
Umeniumbua bora niseme
Kiapo nilicho kula bora nikiteme
Mapenz shikamoo sirudii tenaa
Umepatwa na nn si useme
Kinachokufanya we uniteme
Mapenz shikamooo sirudiii tenaa we hayaa
Sa si bora ungetoa taarifa nijiandae umenichokaa
Au ndo nimekosa sifa unaishia tu kuropokwa

Bila weee me siwez (sauti inarudia)
Siwez siweziii ( nakumbuka uliniambia)
Bila weee me siwez (sauti inarudia)
Siwez siweziii ( nakumbuka uliniambia)

Unanifanya me nalewa sana
Haipiti siku bila kugombana
Mapenz yako ya kibabe sana
Malumbano ya mapenz siyawezi
Kuna sielewi mana, iv kwanini kwako na ng,ang,ana
Mapenz gani haya kutesana
Wasiwasi wa mapenz
Ivi kwann we hisia zangu unazikondesha unaniweka roho juu
Ina maana mie maisha yangu sito yasongesha oooh mapenziiii
Sa si bora ungetoa taarifa nijiandae umenichoka
Au ndo nimekosa sifa unaishia tu kuropokwaaa

Bila weee me siwez (sauti inarudia)
Siwez siweziii ( nakumbuka uliniambia)
Bila weee me siwez (sauti inarudia)
Siwez siweziii ( nakumbuka uliniambia)

Watch Video

About Siwezi

Album : Siwezi (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Mar 23 , 2022

More NANDY Lyrics

NANDY
NANDY
NANDY
NANDY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl