BEN POL Kidani cover image

Kidani Lyrics

Kidani Lyrics by BEN POL


I wish unipende, unichunge
Nisiende kwengine
Tena unifunge 
Unifumbe na macho nisione mwingine

Mmmh naheshimu maamuzi 
Hisia kuwa nawe
Usinifanye nijutie
Nionekane mpuzi dunia unishangae
Penzi langu
Nahifadhi mapenzi tuyafanye baadae

Penzi lako utamu wa asali, baby nipe
Nikabidhi nipe kibali, kwa mbwembwe ni tamu
Penzi tamu asali, ooh baby nipe
Nikabidhi nipe kibali

Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala

Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala

Unajua we ndo dawa
Mwenzako nikiugua
Kukukosa nachachawa
Bila shaka unajua

Tena kwako mimi si chochote
Sisikii sioni, sijiwezi kwa lolote
Maneno ya nje tusije yapa mwanya
Oooh my love, fikisha kipimo usijeyagawanya
Oooh my love, heshima upendo na kudhaminiana
Oooh my love, tufike malengo tukishirikiana 

Penzi lako utamu wa asali, baby nipe
Nikabidhi nipe kibali, kwa mbwembwe ni tamu
Penzi tamu asali, ooh baby 
Nikabidhi nipe kibali

Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala

Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala
Ukinipa kidani, nalala

Ooh ooh, nalala, nalala
Nalala, nalala, nalala, nalala

Watch Video

About Kidani

Album : Kidani (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 08 , 2020

More BEN POL Lyrics

BEN POL
Why
BEN POL
BEN POL
BEN POL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl