...

Nusu Saa Lyrics by MBOSSO


Ayoo lizer

Nina hadithi ya mapenzi ngoja nikuhadithie

Kwenye yangu matembezi nusu kufa nizimie

Ushaona mtoto bila malezi ndo nilikuaga mie

Moyo niliwapa wezi matapeli waniibie

Sasa inantosha nimesahau

Tangu nikupate wewe naiona angalau

Sasa imetosha nimesahau mimi

Tangu nikupate wewe naiona angalau

Robo saa, haitoshi nusu saa

Hata masaa, suchoki kusema na wewe

Robo saa, haitoshi nusu saa

Hata masaa, suchoki kusema na wewe

Deka unavyodeka kama mtoto

Nitakubembeleza mi ni wako oooh

Nitazidi kupa vitu moto moto ooh

Mapenzi kupendana si mchezo oooh

Uuuhuuuu

Nilimaliza na waganga waganguzi miti shamba

Kumbe mapenzi ni karanga zinapikwa na mchanga

Sasa inatosha nimesahau

Tangu nikupate wewe, naiona angalau

Sasa imetosha nimesahau mimi

Tangu nikupate wewe naiona angalau

Robo saa, haitoshi nusu saa

Hata masaa, suchoki kusema na wewe

Robo saa, haitoshi nusu saa

Hata masaa, suchoki kusema na wewe

Nainua mkono mama kitambaa cheupe

Ishara ya mapenzi mama ooh zipora

Wewe nami zipora mama ua langu la moyo

Haya yote tisa tu moja jaza peke

Watch Video

About Nusu Saa

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Jun 17 , 2025

More MBOSSO Lyrics

MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl