
Pilipili Lyrics
Pilipili Lyrics by MATONYA
Mi natamani moyo ungekuwa kiwanja
Ningekupa ujenge
Kama ruby, dhahabu, ndio ticket
Ningechimba kwa jembe
Ulivyo umbika mamaa
Nyuma kama mlima eeh
Usije niacha na ndoto kwenye kona
Haki ya nani nitazima
Mi ndo wako mtimaa maa
We dumuzi nimalizee(nimalizee eeh)
Sitaki nikukosee
We nimalize aaai
Pilipili wewee(pilipili inaniwasha)
Pilipi Pilipi(pilipili inaniwasha)
Pilipili wewee(pilipili inaniwasha)
Pilipi Pilipi(pilipili inaniwasha)
Hata ukiweka kwa maji
Bado tu inaniwasha
Ukichombeza na ndizi je?
Bado tu itaniwasha
Penzi letu liwe siri(tarama)
Kuepusha majangili(tarama)
Wasije pora watanikili(tarama)
Nishinde mkono wa shavu sio dili(tarama)
Nina mipango mingi nawee
Tokea zamani
Ugomvi wa simu tupa kulee
Kizamanii
Aii baby mi nawee(nichum chum)
Wali tupakulee(nichum chum)
Eh mi nawee(nichum chum)
Baby mpaka kulee
Aii baby mi nawee
Wali tupakulee
Eh mi nawee
Menya ndizi nilee
Pilipili wewee(pilipili inaniwasha)
Pilipi Pilipi(pilipili inaniwasha)
Pilipili wewee(pilipili inaniwasha)
Pilipi Pilipi(pilipili inaniwasha)
Hata ukiweka kwa maji
Bado tu inaniwasha
Ukichombeza na ndizi je?
Bado tu itaniwasha
Pilipili wewee(pilipili inaniwasha)
Pilipi Pilipi(pilipili inaniwasha)
Pilipili wewee(pilipili inaniwasha)
Pilipi Pilipi(pilipili inaniwasha)
Aii baby mi nawee(nichum chum)
Wali tupakulee(nichum chum)
Eh mi nawee(nichum chum)
Baby mpaka kulee
Aii baby mi nawee
Wali tupakulee
Eh mi nawee
Menya ndizi nilee
Nichum chum
Nichum chum
Nichum chum
Nichum chum
Watch Video
About Pilipili
More MATONYA Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl