MARIOO Tikisa cover image

Tikisa Lyrics

Tikisa Lyrics by MARIOO


Hahahaha
Bad bad bad bad
(Kimambo on the beats)

Tikisa, tikisa (Eeeh)
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa

Mbona nakaa nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi
Mbona nakaa ka nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi ah

Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa 
(Sijielewi ah)

Nipe kubwa nipe na ndogo go (Wee!)
Changamka usiwe gogo go (Wee!)
Zikipanda nakuwa mhogo go (Wee!)
Sikawii kuzua zogo go (Wee!)

Aminata ah ah
Inavyonata ah ah 
Inanikata ah ah
Usinimwage mwage bwana gambe

Mbona nakaa nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi
Mbona nakaa ka nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi ah

Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa 

Leo tumejipata
Tupo kila kopo tukila bata (Tikisa)
Waiter leta nyingine 
Debe zimewaka zinataka (Tikisa)

Hatulali, mapopo
Ni minyesho tu, mapopo
Hatulali, mapopo
Ni mineso tu, mapopo

Mbona nakaa nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi
Mbona nakaa ka nataka kufa
Mbona nakaa sijielewi ah

Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa 

Wenye vitambi tikisa, Tikisa!
Wenye wowowowo tikisa, Tikisa!
Wenye mawiggy tikisa, Tikisa!
Wenye marasta tikisa, Tikisa!

Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa
Tikisa, tikisa 

Watch Video

About Tikisa

Album : Tikisa (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 17 , 2020

More MARIOO Lyrics

MARIOO
MARIOO
MARIOO
MARIOO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl