...

Ha Ha Ha Lyrics by MARIOO


Nacheka kwa dharau

Nawapandisha nawashusha kama

Nacheka kwa dharau

Ha ha ha

Nawapandisha nawashusha kama

Ha ha ha

Mjini akili nguvu nenda shamba ukalime

Uone wenzako wajanja, akina stepa montana

Silaha pesa mambo visumishu utarini

Watu wanasusha magorimee

Kamanda usinipeleke ntakupa bukutan

Seke seke lote kwa tafutan

Kete kete tulikuwa mtu tano

Sa mbona naisha wenyewee

Mwanamke, mwanamke (Wo wo wo)

Mwanaumee mwanaume (Furusi)

Mwanamke, mwanamke (Wo wo wo)

Mwanaumee mwanaume

Nacheka kwa dharau

Ha ha ha

Nawapandisha nawashusha kama

Ha ha ha

Nacheka kwa dharau

Ha ha ha

Nawapandisha nawashusha kama

Ha ha ha

Yeye akimwaga mboga mwaga ugali (Bado poa)

Mkikucheat mlipizia (Bado poa)

Mkileta mbwai leta mbwai (Bado poa)

Kwani vipi, kwani vipi, mambo poa

Wee hukui

Mpaka leo bado nalilia mapenzi

Eeh makuzini

Michezo, michezo, michezo hiyoo (Wo wo wo)

Mwanaumee mwanaume (Furusi)

Mwanamke, mwanamke (Wo wo wo)

Mwanaumee mwanaume

Nacheka kwa dharau

Ha ha ha

Nawapandisha nawashusha kama

Ha ha ha

Nacheka kwa dharau

Ha ha ha

Nawapandisha nawashusha kama

Ha ha ha

Watch Video

About Ha Ha Ha

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright : (c) 2025 Bad Nation Records Lab.
Added By : Farida
Published : Jul 05 , 2025

More MARIOO Lyrics

MARIOO
Why
MARIOO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl