
Ha Ha Ha Lyrics
...
Ha Ha Ha Lyrics by MARIOO
Nacheka kwa dharau
Nawapandisha nawashusha kama
Nacheka kwa dharau
Ha ha ha
Nawapandisha nawashusha kama
Ha ha ha
Mjini akili nguvu nenda shamba ukalime
Uone wenzako wajanja, akina stepa montana
Silaha pesa mambo visumishu utarini
Watu wanasusha magorimee
Kamanda usinipeleke ntakupa bukutan
Seke seke lote kwa tafutan
Kete kete tulikuwa mtu tano
Sa mbona naisha wenyewee
Mwanamke, mwanamke (Wo wo wo)
Mwanaumee mwanaume (Furusi)
Mwanamke, mwanamke (Wo wo wo)
Mwanaumee mwanaume
Nacheka kwa dharau
Ha ha ha
Nawapandisha nawashusha kama
Ha ha ha
Nacheka kwa dharau
Ha ha ha
Nawapandisha nawashusha kama
Ha ha ha
Yeye akimwaga mboga mwaga ugali (Bado poa)
Mkikucheat mlipizia (Bado poa)
Mkileta mbwai leta mbwai (Bado poa)
Kwani vipi, kwani vipi, mambo poa
Wee hukui
Mpaka leo bado nalilia mapenzi
Eeh makuzini
Michezo, michezo, michezo hiyoo (Wo wo wo)
Mwanaumee mwanaume (Furusi)
Mwanamke, mwanamke (Wo wo wo)
Mwanaumee mwanaume
Nacheka kwa dharau
Ha ha ha
Nawapandisha nawashusha kama
Ha ha ha
Nacheka kwa dharau
Ha ha ha
Nawapandisha nawashusha kama
Ha ha ha
Watch Video
About Ha Ha Ha
More MARIOO Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl