
Wasi Wasi Lyrics
Wasi Wasi Lyrics by KAYUMBA
Nikikukabidhi moyo wangu
Hivi utanitesa mie
Naogopa nikikukabidhi moyo wangu
Nahofia utanitesa mie
Wewe mtoto wa mjini
Umezoea bata mimi sina hizo
Nimekuzwa kwenya dini
Nisije kupa moyo, ukanizawadia pigo
Nikikukabidhi moyo wangu
Naogopa nikikukabidhi moyo wangu
Neno nakupenda sana
Nimeambiwa na wengi
Mioyo imeumbwa tamaa
Kudanganywa sipendi
Neno nakupenda sana
Nimeambiwa na wengi
Mioyo imeumbwa tamaa
Kudanganywa sipendi
Nina wasi wasi ayo
Nina wasi wasi ayo
Nina wasi wasi ayo
Naogopa usije nipa penzi la kio
Nina wasi wasi ayo yo mama
Nina wasi wasi aaah
Nina wasi wasi
Ukicheka ye akuchekea
Hayo mapenzi ya kioo
Mwenzako wasiwasi wangu
Ni kweli hutakidhi haja yangu
Uwe kidani changu
Muda wowote umezunguka shingo yangu
Aah usije ninyanyasa kisa pweza sina
Aah kanipa mapenzi kwa sababu ya jina
Nikikukabidhi moyo wangu
Naogopa nikikukabidhi moyo wangu
Neno nakupenda sana
Nimeambiwa na wengi
Mioyo imeumbwa tamaa
Kudanganywa sipendi
Neno nakupenda sana
Nimeambiwa na wengi
Mioyo imeumbwa tamaa
Kudanganywa sipendi
Nina wasi wasi ayo
Nina wasi wasi ayo
Nina wasi wasi ayo
Naogopa usije nipa penzi la kio
Nina wasi wasi ayo yo mama
Nina wasi wasi aaah
Nina wasi wasi
Ukicheka ye akuchekea
Hayo mapenzi ya kioo
Watch Video
About Wasi Wasi
More KAYUMBA Lyrics
Comments ( 2 )

Mimi sina wasiwasi wa kumkabidhi upendo wangu huyu mwanetu KAYUMBA kwa wimbo mzuri huu.Safi sana.

Mimi sina wasiwasi wa kumkabidhi upendo wangu huyu mwanetu KAYUMBA kwa wimbo mzuri huu.Safi sana.
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl