Move On Lyrics by KAYUMBA


Bye bye ndio neno langu nimekuswafia
Kuondoka ndio nusura yangu kuliko kukumbatia
Sababu nakupenda unajua siwezi fanya tofauti
Naona nguo zishakauka anua, nimeridhika na kibuti

Penzi furaha, penzi jeraha
Usijeokota umauti
Naona nguo zishakauka anua
Nimeridhika na kibuti

Amini niko tima
Kinitokacho kinywani si haramu
Na mi ni binadamu
Haya maumivu kwa damu

Sababu nakupenda unajua
Siwezi fanya tofauti
Naona nguo zishakauka anua
Nimeridhika na kibuti

Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya ah nimemove on

Si kwa ubaya nimemove on, move on
Maana sili hata na usiku silali
Ah najiuliza nini hiki wamekishindwa madakitari
Ah najitedi simama siwezi, mtoto rudi kwa mama
Ashalala simama penzi limenikill nyakanyaka

Ah labda walitaka kuniua
Ama nilikosea kuchagua
Aya kushona mi nikatatua
Asa ndo picha limeungua

Sababu nakupenda unajua
Siwezi fanya tofauti
Naona nguo zishakauka anua
Nimeridhika na kibuti

Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya ah nimemove on

Ah labda walitaka kuniua, kuniua
Haya maumivu kwa damu

Watch Video

About Move On

Album : Sweet Pain (EP)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 17 , 2021

More lyrics from Sweet Pain (EP) album

More KAYUMBA Lyrics

KAYUMBA
KAYUMBA
KAYUMBA
KAYUMBA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl