
Hapa Lyrics
...
Hapa Lyrics by KASSAM
Usimwaze mwingine
Niwaze mimi tu
Nikisema I love you
Itika I love you too
Nisemeshe kwa kunongona
Oooh my boo
Tupendane mpaka waige
Ndege waliopo juu
Leo sitaki penzi haraka haraka
Tufanye taratibu
Leo tusitokwe jasho
Yaani taratibu
Tena tusiyafumbe macho
Tutazamane kwa ukaribu
Halafu uniambie ukipendacho
Nianzie shingo ama mbavu
Kwa moyo wangu uko hapa
Hapa hapa hapa
Hapa hapaaaah
Hapa hapa hapa
Kwa moyo wangu uko hapa
Hapa hapa hapa
Hapa hapaaaah
Acha nikuambiee
Hizi hisiaa
Mi nakupenda sana na nimekuridhia
Wewe bila mie
Mapenzi hakuna
Na tutachopanda
Ndio tutachovuna eeeh
Nikuache mimi labda ninmerogwa
Kichwani mwangu umenimejaa oooh
Ah nakuota
Nikilala mi nakuota
Leo sitaki penzi haraka haraka
Tufanye taratibu
Leo tusitokwe jasho
Yaani taratibu
Tena tusiyafumbe macho
Tutazamane kw ukaribu
Halafu uniambie ukipendacho
Nianzie shingo ama mbavu
Kwa moyo wangu uko hapa
Hapa hapa hapa
Hapa hapaaah
Hapa hapa hapa
Kwa moyo wangu uko hapa
Hapa hapa hapa
Hapa hapaaaah
Watch Video
About Hapa
More KASSAM Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl