KASSAM Anaolewa  cover image

Anaolewa Lyrics

Anaolewa Lyrics by KASSAM


Anaolewa, anaolewa
Anaolewa, anaolewa

Ile imani nilojaza kwako leo 
Ndo yaniumiza
Nini nimekosa na upo leo
My yah yah yah

Kwa mapenzi nilonayo nikakupa cheo
Cha mahabuba
Bora ningefuga mbuzi 
Ningekunywa hata supu

Maya siwezi laumu pengine
Sifai kuwa mume
Maisha magumu ukaona nitakuhifadhi wapi
Ama nguvu za kiume sina, hufiki unapotaka 
Ati umenika na mtume, nitahubiria wapi

Yale mazoea yananipa taabu
Niliyekuzoea mi ndo napata taabu
Mawazo nilojijengea umenikata bawabu
Mema nilokufanyia nitalipwa dhawabu

Anaolewa, anaolewa 
Anaolewa, anaolewa 
Anaolewa, anaolewa 
Anaolewa, anaolewa 

Nini tatizo ama kila siku kukwambia ngoja ngoja
Ikakuumiza tumbo
Ama ni nini? Ama chakula cha utumbo
Miguu ya kuku vichwa Tandale kwetu umbo
Ama mbona ulisema ushagazoea
Tule tusile umejitolea 
Kuwa nami kwako ningekewa
Yapo wapi?

Yale mazoea yananipa taabu
Niliyekuzoea mi ndo napata taabu
Mawazo nilojijengea umenikata bawabu
Mema nilokufanyia nitalipwa dhawabu

Anaolewa, anaolewa 
Anaolewa, anaolewa 
Anaolewa, anaolewa 
Anaolewa, anaolewa 

Watch Video

About Anaolewa

Album : Anaolewa (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 09 , 2021

More KASSAM Lyrics

KASSAM

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl