...

Nishalowa Lyrics by JAY MELODY


Ona nanah

Ona nananah

Ninavyoonekana kama nina ulafi onhoo

Ninavyoonekana kama nakuja kasi anhaa

Najua unahitaji kidogo nafasi enhee

Na mie ndio hivyo nishakolea nazi anhaa

Huwa naota uniita

Sauti yako inavuma toka mbali

Mizigo yako nitajitwaika

Niko tayani mie kuanza safari

Kuna wakati ni usiku saa tisa

Unaongea na mimi haulali

Hivyo vitu vyanimaliza

Na kukuacha kwa kweli sitakubali

Yani sitosheki mimi

Unazidi kunichanganya

Au nilambe na ulimi

Nipite huko chini kwa chini

Naibuka nikizama

Kama samaki baharini oooh

Mapenzi yako mvua (nishaloa)

Mapenzi yako jua (lanichoma)

Mapenzi yako mvua (nishaloa)

Mapenzi yako jua (lanichoma)

Taratibu nishependa

Wangu moyo ushalenga

Vya ndani utamu nishalamba

Oh dear

Oh mama

Umenipa mapenzi, naona utajiri

Siwezi kuificha siri

Penzi maradhi nishapata

Unavyonijali dakitari

Mbona raha aah

Ndo ujue kama hakuna

Mimi bila wewe

Sitamani nikuache usiniache

Yani sitosheki mimi

Unazidi kunichanganya

Au nilambe na ulimi

Nipite huko chini kwa chini

Niibuka nikizama

Kama samaki baharini oooh

Mapenzi yako mvua (nishaloa)

Mapenzi yako jua (lanichoma)

Mapenzi yako mvua (nishaloa)

Mapenzi yako jua (lanichoma)

Watch Video

About Nishalowa

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : May 09 , 2025

More JAY MELODY Lyrics

JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl