B GWAY Utachekwa  cover image

Utachekwa Lyrics

Utachekwa Lyrics by B GWAY


Hizi streets za mapenzi 
Mmmh jamani kaza (Utachekwa)
Ati baby kakuacha
Ndo ujitie kitanzi (Utachekwa)
Ndugu yangu huna shepu unajibinua binua (Utachekwa)
Hata kodi hujalipa unajichubua chubua (Utachekwa)

Ukijitamba utazua nongwa (Utachekwa)
Ati gari nimenunua kumbe umehongwa (Utachekwa)

We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)
We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)
We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)
We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)

Ukimpigia baby baby ukaweka na loudspeaker
Kumbe baby yuko na baby yatakushuka (Utachekwa)
Sa ndo nini umelewa unaanza kutoa vya ndani (Utachekwa)
Umenunua subwoofer ndo utese majirani (Utachekwa)
We shabiki wa Yanga unaishi Msibanzi (Utachekwa)
We shabiki wa Simba unajenga mwembe Yanga (Utachekwa)

We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)
We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)
We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)
We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)

Kama unaboss mpepeee, chawa boss mpepeee
Kama unaboss mpepeee, aah mpepeee 
Kama una baby mpepeee,jamani baby mpepeee
Kama una baby mpepeee, aah mpepeee 

Watch Video

About Utachekwa

Album : Utachekwa (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 21 , 2021

More B GWAY Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl