
I Don't Know Lyrics
...
I Don't Know Lyrics by JAY MELODY
Oh oolalaa
Oh oolalaa
Jay once again
Mimi nataka kitu kidogo
Nikwambie
Nimekupa moyo basi nawe wako nigaiye
Burudani nifuraha wewe kua na mie
Ukitaka joto songa baby nikukumbatie
Kama kukutenda sijui my love
Baby i don’t know
Kala kakuacha sijui my love
Baby i don’t know
I don’t know
I don’t know
Baby i don’t know
I don’t know
I don’t know
Baby i don’t know
Onanaaaah oooh
Ayah ayaaa
Hatupendani wenyewe
Tunapendwa na umati
Watazunguka kote
Kama sisi hawapati
Baby unavyonipa
Nikachori kalimati
Wambea watachoka
Kwa kufanya hisabati
Nataka ujue (we wakwangu mie)
Ringa jishauwe (we wakwangu mie)
Usijibanebane (we wakwangu mie)
Tamba wakujue (we wakwangu mie)
Kama kukutenda sijui my love
Jamani baby i don’t know
Kama kukutenda sijui my love
Mwenzako baby i don’t know
I don’t know
I don’t know
Baby i don’t know
I don’t know
I don’t know
Baby i don’t know
Nampenda mpenda nani
Mtoto mmoja nani
Mweupe kidogo nani
Mweusi kidogo nani
Eti nampenda mpenda nani
Mtoto mmoja nani
Mweupe kidogo nani
Mweusi kidogo nani
Watch Video
About I Don't Know
More JAY MELODY Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl