...

Hawatoi Lyrics by JAY MELODY


Zheh

Naitwa nani vile

Jay once again

Onhoooo

Umaskini unafanya nazidi pambana

Tena najua kule nilipotoka na ninachofanya

Halafu mungu nae ananibariki usiku mchana

Wanaoniombea mabaya hawajakosekana

Iyo mishale yao ah

Mi naikwepa

Kwanza shauri zao

Wanavyoteseka

Na kimpango wao

Mi ndo nasepa

Nikikutana nao

Ndo kwanza nacheka

Hawatoi hawatoi

Hata sifa hawatoi

Hawatoi hawatoi

Hata heshima hawatoi

Wamejukausha

Wamenuna

Wamejukausha

Kama hawanioni vile

Wamejukausha

Wamenuna

Wamejukausha

Kama hawanioni vile

Uzito ndo tatizo eti

Wanataka niwe mwepesi

Wanasema sieleweki

Si washajua siendeshwi

Wanafanya mpaka upelelezi

Anaishi wapi mbezi

Binadamu mna mengi

Kwendeni kudadeki

Anhaaaa

Hawachoki kila siku

Anhaaaaa

Wananitafuta kitu

Anhaaaa

Hawachoki kila siku

Anhaaaaa

Wananitafuta kitu ahooo

Hawatoi hawatoi

Hata sifa hawatoi

Hawatoi hawatoi

Hata heshima hawatoi

Wamejukausha

Wamenuna

Wamejukausha

Kama hawanioni vile

Wamejukausha

Wamenuna

Wamejukausha

Kama hawanioni vile

Watch Video

About Hawatoi

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : May 09 , 2025

More JAY MELODY Lyrics

JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl