...

Mara Ya Kwanza Lyrics by JAY MELODY


Come on let’s go jay

Aii

Mara ya kwanza

Mara ya kwanza kuingia

Nikawa ka nasikilizia

Uku natafuta njia

Nisije nikaumia ok

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Mara ya kwanza kutumia

Nilizunguka dunia

Nikamuuliza baharia

Mbona sa nasinzia ok

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Alinambia kwamba hili swala letu halina uzito

Anakuaga sawa hata kama mimi nikiwa sipo

Mambo ya kutojua ndo nikachukulia tu simple

Ameshapata mpenzi yule tulikutana nae disco

Mara ya kwanza kuumia

Siku iyo nililia

Mambo ya kuhusu hisia

Sitaki kuyasikia ok

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Mara ya kwanza niliambiwa

Acha umalaya tulia

Mambo yaku fakamia fakamia

Ah kumbe familia ok

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Kuna watu wanapenda sifa

Wakipanda mnazi

We nazi mbili tatu, nne tano sita

Mkononi kashikilia picha

Anaufanya uhuni

We nazi mbili tatu, nne tano sita

Mara ya kwanza my dear

Uchungu utasikia

Pale ikichanganyia

Ndo utamu unaingia ok

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Ndo mara ya kwanza

Mara ya kwanza ukipewa

Kwanza usilambe tulia

Pipi ya kumegewa

Yenye utamu wa maziwa

Ok okay

Ndo mara ya kwanza ai wee

Ndo mara ya kwanza oyeh

Ndo mara ya kwanza ai wee

Ndo mara ya kwanza

Come on let’s go jay

Watch Video

About Mara Ya Kwanza

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : May 09 , 2025

More JAY MELODY Lyrics

JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl