Kamaliza Lyrics by HARMONIZE


Tito hii hapa sauti ya
Jemedari, kanali amri jeshi mkuu Konde Boy
Hallo wee, hallo tena..

Nasema mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile (Hana haya)
Mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile (Hana haya)
Mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile (Hana haya)
Mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile 

Makalio ya kichina anajiona kamaliza
Na nywele za kuazima anajiona kamaliza
Na make-up za kuunga unga anajiona kamaliza
Mwenzenu Insta ana 10k anajiona kamaliza

Kisa kibabu kinamhonga anajiona kamaliza
Eti kisa kasoma ulaya anajiona kamaliza
Mwenzenu pesa kidogo anajiona kamaliza
Limama limemweka ndani anajiona kamaliza

Eti kisa ana sumu mpya anajiona kamaliza
Yeye kutwa yupo tungi anajiona kamaliza
Tena anajisifu ukitaniana wakimbiza
Eti kisa ana danga jipya anajiona kamaliza

Nasema mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile (Hana haya)
Mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile (Hana haya)
Mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile (Hana haya)
Mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile 

Watoto wa banda, Zuu na kunasia
Kipengo hapa Amri Kuu jeshi
Konde boy

Mama mpeeni mbeleko amlee mwanawe
Nasema mama mpeeni mbeleko amlee mwanawe
Mama mpeeni mbeleko amlee mwanawe
Mama mama mama mama

Dj Tito piga magoma tuwarushe masela
Halo wee, hallo tena
Mwanangu Tito piga magoma tuwarushe majita

Ah fanya kama unasusa, we unasusa
Mpaka chini unagusa, we unagusa
Fanya kama unasusa, we unasusa
Mpaka chini unagusa, we unagusa

Eti kisa ye ndo kijumbe, anajiona kamaliza
Dada yenu kachumbiwa anajiona kamaliza
Eti kisa we sungusungu unajiona kamaliza
Eti kisa baba yake kiongozi anajiona kamaliza

Siku hizi anapanda ndege anajiona kamaliza
Zikiisha mto kahamu anajiona kamaliza (Tito yii)
Utasema hanifahamu anajiona kamaliza
Eti kisa amenizalia anajiona kamaliza

Na mwanenu amepata kazi anajiona kamaliza
Siku hizi masikani hatokei anajiona kamaliza
Na hata simu zangu hapokei anajiona kamaliza

Basi tena hoo babaa...
We mama, we dada
We mama nipe kidogo..

Basi we mchele wangu umekula
Mtama wangu umekula 
Aiii mama nipe kidogo nichangamshe damu
Nipe kidogo nichangamshe

We tamu tamu, we tamu kama tamu
We mama tamu tamu, we tamu kama tamu
We mama tamu tamu, we tamu kama tamu

Basi tena nipe tena kama ulivyonipa jana
Ona ninavyo nipaga we mama naskia raha
Mwanangu tamu tamu, we tamu kama tamu

Umemuona chura, chura mtu mzima
Umemuona chura, chura mtu mzima

We nipe za utu uzima, utu uzima
We mama za utu uzima, utu uzima 
We nipe za utu uzima, utu uzima
We mama za utu uzima, utu uzima 

Basi nipe za mchanganyo, za mchanganyo
Haya mama za mchanganyo, we mchanganyo
Basi nipe za mchanganyo, za mchanganyo
We mama we za mchanganyo, za mchanganyo

Basi tena hallo wee, halo tena
Hatari hatari hatari lakini salama
Nakubaliana na we producer Kenny
Msalimie huyo Dj Tito
Wanangu wa Konde Gang 
Nzuri hiyo.... (Eyoo Kenny)

Watch Video

About Kamaliza

Album : High School (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 05 , 2021

More lyrics from High School album

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl