Una Kasoro Lyrics
Una Kasoro Lyrics by HAMIS BSS
Umesonga dono umetoa mabuja
Hadi chai unaitiaga chumvi
Unajiita mwarabu kutoka Ugunja
Dem gani we una vigimbi
Ayuu ndo maina na mimi Mejja
Naskia una kisima I swear sitakuweza
Ayuu ndo maina na mimi Mejja
Naskia una kisima I swear sitakuweza
Una kasoro, nimejua una kasoro
Kumbe una, una kasoro
Una kasoro, nimejua una kasoro
Kumbe una, una kasoro
Una kasoro, nimejua una kasoro
Kumbe una, una kasoro
Una kasoro, nimejua una kasoro
Kumbe una, una kasoro
Mwanamke kisirani
Wanitukana hivi ni kwanini, ayee
Na kumbe umekosa kungwi
Hauna mbele nyuma kama bundi, wewe
Na unga unga we dada
Hukuridhisha maana
Na unga unga we dada
Hakukuridhisha maana
Ayuu ndo maina na mimi Mejja
Naskia una kisima I swear sitakuweza
Ayuu ndo maina na mimi Mejja
Naskia una kisima I swear sitakuweza
Una kasoro, nimejua una kasoro
Kumbe una, una kasoro
Una kasoro, nimejua una kasoro
Kumbe una, una kasoro
Una kasoro, nimejua una kasoro
Kumbe una, una kasoro
Una kasoro, nimejua una kasoro
Kumbe una, una kasoro
Hufanani na ma Amina
Wala mama Michael
Hufanani na ma Amina
Wala mama Michael
(Ngatale Music)
Watch Video
About Una Kasoro
More HAMIS BSS Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl