Mwema Lyrics by PAUL CLEMENT


Wema wako 
Si kwa wakati wa furaha tu
Wema wako pia wakati
Hata wa machozi

Wema wako haupimiki
Kwa majira fulani tu
Wema wako ni kila wakati 
Na kila nyakati

Hata sasa ni Mwema
Tunapoimba ni Mwema
Tunapolia ni Mwema

Tunapo cheka ni Mwema
Tunapopanda ni Mwema
Tunapovuna ni Mwema

So wewe ni Mwema, umwemaaaa
Wewe ni Mwema
Wewe ni Mwema, umwemaaaa
Wewe ni Mwema

Mungu wa baraka 

Wewe ni Mwema, umwemaaaa
Wewe ni Mwema
Wewe ni Mwema, umwemaaaa
Wewe ni Mwema

Unatupenda, unatupenda
Wewe ni Mwema
Unatupenda, unatupenda
Wewe ni Mwema

Wema wako ni kama mchanga 
Siwezi kuhesabu
Wema wako ni kama maji
Yanayomiminika bila kukoma

Mtu akinge ama asikinge 
Hayataacha kutoka
Hata sasa ni Mwema

Tunapoimba ni Mwema
Tunapolia ni Mwema
Tunapo cheka ni Mwema

Wewe ni Mwema, umwemaaa 
Wewe ni Mwema
Wewe ni Mwema, umwemaaa 
Wewe ni Mwema

Unatupenda, unatupenda 
Wewe ni Mwema
Unatupenda, unatupenda 
Wewe ni Mwema

Wewe ni Mwema, umwemaaa 
Wewe ni Mwema
Wewe ni Mwema, umwemaaa 
Wewe ni Mwema

Watch Video

About Mwema

Album : Mwema (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 21 , 2020

More PAUL CLEMENT Lyrics

PAUL CLEMENT
PAUL CLEMENT
PAUL CLEMENT
PAUL CLEMENT

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl