...

Simuachi Lyrics by Phany Love


Nimelala nimeamka

Nadhani ndoto kumbe upendo na shamiri

Aah toka amekuja kweney maisha yangu kaichota akili

Ikitokea amekufa

Mi duniani kuishi sitostahili

Dah maan utamu anaonipa asali inasubili

Ooh baby asante kwa kunipa Amani

Uko nyuma mi nishaumizwa sana

Mapenzi sikutamani

Ooh baby asante kwa kuniweka uraiani

Nilifungwa jela ya mapenzi we ukanipa dhamani ohh baby

Simuachi my baby

Simuachi my baby

Simuachi my baby

Simuachi my baby

Ah, oh baby stop

Kupenda pengine mimi siwezi

Moyo nao nahisi nazi ndioishapata mkwezi

Nimetamani kuhadithia jinsi gani najiskia

Hili penzi malkia furaha ananipatia

Ooh baby asante kwa kunipa Amani

Uko nyuma mi nishaumizwa sana

Mapenzi sikutamani

Ooh baby asante

Kwa kuniweka uraiani

Nilifungwa jela ya mapenzi we ukanipa dhamani ooh baby

Simuachi my baby

Simuachi my baby

Simuachi my baby

Simuachi my baby

Watch Video

About Simuachi

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Sharon Abonyo
Published : Jul 17 , 2025

More Phany Love Lyrics

Phany Love

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl