...

Niteke Lyrics by Phany Love


Phany love yeah

Machozi yalinitoka nilipoitesa furaha

Nikayachukia mapenzi

Hadi kupenda tena moyo ukakataa

Ila siku zilikwenda, nimempata anayenifaa

Ananipa mautamu ambayo sikuwaikupata

Sina lakusema Zaidi (nnayempenda ni yeye)

Na Mungu ndiye shahidi (nitazikwa na yeye)

Nikuakupate kwenye Zaidi (tuwe wote milele)

Tuhepuke mahasidi, weneye chuki (viherehere)

Niteke (oh niteke)

Nishakwambia teka niteke (oh niteke)

Baby, baby niteke (oh niteke)

Nishakwambia teka niteke (oh niteke)

Sikatai sina pesa

Ila upendo kweli ninao

Ata wakituteta usijali kwani si hatuli kwao

Nilikua wapi kwa mjomba nimechelewa

Sio kwa raha anvyonipa nishanogewa

Sina la kusema Zaidi

Ninayempenda ni yeye

Na Mungu ndiye shahidi (nitazikwa na yeye)

Nikuakupate kwenye Zaidi (tuwe wote milele)

Tuhepuke mahasidi, weneye chuki (viherehere)

Niteke (oh niteke)

Nishakwambia teka niteke (oh niteke)

Baby, baby niteke (oh niteke)

Nishakwambia teka niteke (oh niteke)

Watch Video

About Niteke

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Sharon Abonyo
Published : Jul 29 , 2025

More Phany Love Lyrics

NO
Phany Love
Phany Love
Phany Love

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl