...

NO Lyrics by Phany Love


Nakupakulia ex maana ulivyoniacha ulidhani nitakonda

Nakupakulia ex maana ulivyo ondoka mi ndio mwili unanona

Ulinipa ulemavu Mungu akanipa mwendo

Ulidhani sitampata wa kuliziba pengo

Nenda zako tu acha nikimbize malengo

Nilipoteza muda wangu kuwa na wewe kibwengo

Ila kwa sasa napendwa mi naringa

Mi naringa maana nishakipata

Kurudi nyumba siwezi (no, no, no)

Ukiniona kimbia kaa mbali na mimi (no, no, no)

Oh no no no (no, no, no)

Oh no no no (no, no, no)

Oh no no no (no, no, no)

Nimepata taarifa eti anaulizia ninapokaa

Lengo lake anataka kuja kwangu aje kuniomba msamaha

Kajisahaulisha huko nyuma alivyo ni nyanyapa

Kujipata kidogo eti kashaanza kujiletesha tamaa

Hivi maji masafi lakini nilinawa

Yule alinipa ugonjwa huyu kanipa dawa

Chochote anacho taka mimi kwangu sawa

Yeye ndio bosi wangu mimi ndio wake chawa

Ila kwa sasa napendwa (mi napendwa)

Mi naringa penzi shata shata

Ila kwa sasa napendwa mi naringa

Mi naringa maana nishakipata

Kurudi nyumba siwezi (no, no, no)

Ukiniona kimbia kaa mbali na mimi (no, no, no)

Oh no no no (no, no, no)

Oh no no no (no, no, no)

Oh no, no no (no, no, no)

Watch Video

About NO

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Sharon Abonyo
Published : Jul 29 , 2025

More Phany Love Lyrics

Phany Love
Phany Love
Phany Love

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl