
Paroles de Simuachi
...
Paroles de Simuachi Par Phany Love
Nimelala nimeamka
Nadhani ndoto kumbe upendo na shamiri
Aah toka amekuja kweney maisha yangu kaichota akili
Ikitokea amekufa
Mi duniani kuishi sitostahili
Dah maan utamu anaonipa asali inasubili
Ooh baby asante kwa kunipa Amani
Uko nyuma mi nishaumizwa sana
Mapenzi sikutamani
Ooh baby asante kwa kuniweka uraiani
Nilifungwa jela ya mapenzi we ukanipa dhamani ohh baby
Simuachi my baby
Simuachi my baby
Simuachi my baby
Simuachi my baby
Ah, oh baby stop
Kupenda pengine mimi siwezi
Moyo nao nahisi nazi ndioishapata mkwezi
Nimetamani kuhadithia jinsi gani najiskia
Hili penzi malkia furaha ananipatia
Ooh baby asante kwa kunipa Amani
Uko nyuma mi nishaumizwa sana
Mapenzi sikutamani
Ooh baby asante
Kwa kuniweka uraiani
Nilifungwa jela ya mapenzi we ukanipa dhamani ooh baby
Simuachi my baby
Simuachi my baby
Simuachi my baby
Simuachi my baby
Ecouter
A Propos de "Simuachi"
Plus de Lyrics de Phany Love
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl