
Paroles de Niteke
...
Paroles de Niteke Par Phany Love
Phany love yeah
Machozi yalinitoka nilipoitesa furaha
Nikayachukia mapenzi
Hadi kupenda tena moyo ukakataa
Ila siku zilikwenda, nimempata anayenifaa
Ananipa mautamu ambayo sikuwaikupata
Sina lakusema Zaidi (nnayempenda ni yeye)
Na Mungu ndiye shahidi (nitazikwa na yeye)
Nikuakupate kwenye Zaidi (tuwe wote milele)
Tuhepuke mahasidi, weneye chuki (viherehere)
Niteke (oh niteke)
Nishakwambia teka niteke (oh niteke)
Baby, baby niteke (oh niteke)
Nishakwambia teka niteke (oh niteke)
Sikatai sina pesa
Ila upendo kweli ninao
Ata wakituteta usijali kwani si hatuli kwao
Nilikua wapi kwa mjomba nimechelewa
Sio kwa raha anvyonipa nishanogewa
Sina la kusema Zaidi
Ninayempenda ni yeye
Na Mungu ndiye shahidi (nitazikwa na yeye)
Nikuakupate kwenye Zaidi (tuwe wote milele)
Tuhepuke mahasidi, weneye chuki (viherehere)
Niteke (oh niteke)
Nishakwambia teka niteke (oh niteke)
Baby, baby niteke (oh niteke)
Nishakwambia teka niteke (oh niteke)
Ecouter
A Propos de "Niteke"
Plus de Lyrics de Phany Love
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl