...

Paroles de Niteke Par Phany Love


Phany love yeah

Machozi yalinitoka nilipoitesa furaha

Nikayachukia mapenzi

Hadi kupenda tena moyo ukakataa

Ila siku zilikwenda, nimempata anayenifaa

Ananipa mautamu ambayo sikuwaikupata

Sina lakusema Zaidi (nnayempenda ni yeye)

Na Mungu ndiye shahidi (nitazikwa na yeye)

Nikuakupate kwenye Zaidi (tuwe wote milele)

Tuhepuke mahasidi, weneye chuki (viherehere)

Niteke (oh niteke)

Nishakwambia teka niteke (oh niteke)

Baby, baby niteke (oh niteke)

Nishakwambia teka niteke (oh niteke)

Sikatai sina pesa

Ila upendo kweli ninao

Ata wakituteta usijali kwani si hatuli kwao

Nilikua wapi kwa mjomba nimechelewa

Sio kwa raha anvyonipa nishanogewa

Sina la kusema Zaidi

Ninayempenda ni yeye

Na Mungu ndiye shahidi (nitazikwa na yeye)

Nikuakupate kwenye Zaidi (tuwe wote milele)

Tuhepuke mahasidi, weneye chuki (viherehere)

Niteke (oh niteke)

Nishakwambia teka niteke (oh niteke)

Baby, baby niteke (oh niteke)

Nishakwambia teka niteke (oh niteke)

Ecouter

A Propos de "Niteke"

Album : (Single)
Année de Sortie : 2025
Copyright :
Ajouté par : Sharon Abonyo
Published : Jul 29 , 2025

Plus de Lyrics de Phany Love

NO
Phany Love
Phany Love
Phany Love

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl