Paroles de Baby Par RAYVANNY


Mwanzo nilijua upo msalani
Kama sio uko utakuwa nyumba ya jirani
Nikapiga simu yako haipatikani
Ndio unapokea sa' hivi mummy
Upo sehemu gani

Hata kama sijajibu naomba Samahani
Ile njaa ya tumboni imepanda mpaka kichwani
Sijakuaga ila jua ndio nipo njiani
Ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani
Ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani

Inamaana umechoka sa mbona ni mapema
Hizo shida zimechosha ntazeeka mapema

Ni kweli ndani kuna masufuria
Chakula hakuna, nini nitakupikia
Na Kama tukipika basi bamia
Kutwa nzima na njaa kama ngamia

Nguzo ya upendo kusubiria
Kwa nini unashindwa nivumilia
Na mimi mbona ninakupigania
Mummy rudi nyumbani, Mola atajalia

Aaah siwezi, kwa nini?
Sirudi, sababu gani?
Siwezi, aaah
Sirudi

Nguo zangu zilivyochoka kama tambala ya deki
Zimetoboka unaweza kusema net
Huishi madeni, dukani kwa mangi mpaka bank
Na ukirudi nyumbani, mfukoni huna cent

Anapanga mola, kupata kukosa ridhiki
Akinipa nashukuru na kama nikikosa sibishi
Kwenye swala la mapenzi, mali si kitu iyoo
Kwenye mapenzi, moyo kioa kitu iyoo

Inamaana umechoka sa mbona ni mapema
Hizo shida zimechosha ntazeeka mapema

Ni kweli ndani kuna masufuria
Chakula hakuna, nini nitakupikia
Na Kama tukipika basi bamia
Kutwa nzima na njaa kama ngamia

Nguzo ya upendo kusubiria
Kwa nini unashindwa nivumilia
Na mimi mbona ninakupigania
Mummy rudi nyumbani, Mola atajalia

Aaah siwezi, kwa nini?
Sirudi, sababu gani?
Siwezi, aaah
Sirudi

Ecouter

A Propos de "Baby"

Album : Sound from Africa (Album)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021 WCB Wasafi.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jan 30 , 2021

Plus de lyrics de l'album Sound from Africa

Plus de Lyrics de RAYVANNY

RAYVANNY
RAYVANNY
RAYVANNY
RAYVANNY

Commentaires ( 1 )

.
okong mathias 2021-11-14 07:53:56

i never thought vanny would ever sing in english,buh diz z great coz it helps create more fans world wide



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl