Paroles de Juu Par RAYVANNY


(It's S2kizzy beiby)

Maboya wanateta, kama mi napeta
I'm making my paper (Making my paper)
Sijachana mikeka mifuko imecheka
Sa mwendo wa mateka

Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)

- wanataka battle ila mi nawaweza
Hata kucompare
The rap heat na ndo zinazo tamba on air
King juu ya chain, dollar ju ya udone air
So ukiwasha moto so kiki wanajua wanakuchochea

Cause I've killing rappers kama nyinyi
Na sio peke yako labda uje na wenzako themanini
Maana mie peke yangu kama rappers mia 
Na nyinyi sitini
So uje na rappers wote ambao wanabeef na mimi

Si funny huwa sichekagi na adui vitani
Mi na shetani akiskia beat ananipanda kichwani
Na mama zako siku zote wanadata na fani
Watachana ila kupendwa na mavijimama ndo sidhani

Na nata utanitaka, na ndio maana watoto wanadata
Ju skinny nanata swadakta na nyumbani ukiwa ndani utanipata
Ukinikata una cheese ya mambata 
Sio uoga nguo -- tunamfuata
Utamu huwaga ndo utamu wa bata
Ulichokitaka ndo unachokipata sasa
Bitch!

Maboya wanateta, kama mi napeta
I'm making my paper (Making my paper)
Sijachana mikeka mifuko imecheka
Sa mwendo wa mateka

Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)

Wanafosi tabasamu la kibosi
Kwenye sura za madeni
Kunichukia ni kuchemsha maji
Kovu la mpeni

Mi mambo ya basha, haya kenge mchicha nifuateni
Ghetto jipepee, Koffi Olomide hakuna feni

Nacheka na masnitch utasema siwajui jui
More money Gucci Prada Lui Lui
Hata anipe bure sinunui
V Vanny Boy Mr big name, chui chui

Mziki shule watoto walikimbia umande
Sasa unashindanisha pilau na makande
Nenda kawange ila bado utakaa upande
Naitwa Chui toka Wasafi kwenye ukoo wa Mzee Nyange

Maboya wanateta, kama mi napeta
I'm making my paper (Making my paper)
Sijachana mikeka mifuko imecheka
Sa mwendo wa mateka

Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)

Ecouter

A Propos de "Juu"

Album : Sound from Africa (Album)
Année de Sortie : 2021
Copyright : © 2021 WCB Wasafi
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jan 31 , 2021

Plus de lyrics de l'album Sound from Africa

Plus de Lyrics de RAYVANNY

RAYVANNY
RAYVANNY
RAYVANNY
RAYVANNY

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl