Paroles de Mtoto wa Tajiri
Paroles de Mtoto wa Tajiri Par BARNABA
Mtoto wa tajiri naoa naoa
Mtoto wa tajiri huyo
Mtoto wa tajiri naoa naoa
Si mtoto wa tajiri huyo
Baba president mama pilot
Uncle Balesa
Jirani Moh Dweji
Cousin yake Manji, uncle balesa
Hana shida na mambo makeup
Wa kishua sio kiswaswa tu
Dada yake Wema Sepetu
Raha ya moto michoteso
Mtoto kapenda mikoleso
Saa ya nini nisioe
Mmmh unaniadisia
Vidume vya mjini mitelezo
Ndume ni mbili pata toko
Saa ya nini nisioe
Helalaleiyo
Ziko shida nyingi hajui
Nanyeshewa na mvua hajui
Napigwa na jua, hajui
Maseke maseke tu
Napanda Tuktuk kumfuata, hajui
Sometimes nachacha, hajui
Ye ni raha shida hajui, classic
Mtoto wa tajiri naoa naoa
Mtoto wa tajiri huyo
Mtoto wa tajiri naoa naoa
Si mtoto wa tajiri huyo
Mwana kulifind, mwana kulidate
Sijali najali tu chapaa
Ana sura ya baba
Sijali najali tu chapaa
Cha msingi yangu yanakwenda
Na ubonge wake kuna muda anifosi nimbebe
Ovyo tipwa tipwa
Nikibisha tu makofi na mateke
Ziko shida nyingi hajui
Nanyeshewa na mvua hajui
Napigwa na jua, hajui
Maseke maseke tu
Napanda Tuktuk kumfuata, hajui
Sometimes nachacha, hajui
Ye ni raha shida hajui, murder
Mtoto wa tajiri naoa naoa
Mtoto wa tajiri huyo (Umasikini bye bye)
Mtoto wa tajiri naoa naoa
Si mtoto wa tajiri huyo
Kanzu sio dera
Ecouter
A Propos de "Mtoto wa Tajiri"
Plus de lyrics de l'album Refresh Mind
Plus de Lyrics de BARNABA
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl