BARNABA Asante cover image

Paroles de Asante

Paroles de Asante Par BARNABA


Baba what more can I say?
Haimaanishi kwamba sikosei
Ila bado unanilinda 
Kila kukicha pumzi hunipa
Baraka tele unanipa
You're so kindness 

In the name of The Lord of the mass 
If you believe in God many things will be okay
Maana Mungu anatenda kila wakati, stand up

Kuna matatizo nilishapitia aki nikachukia dunia 
Mungu akanihurumia akanifanya mpya Baba
Sitetereki sihangaiki, sipapatiki mimi
Wanafanya vingi wanipige ngwara 
Ili niende chini ila wapi

Mabaya anazuia (Mungu hataki)
Mikosi anapangua (Ooh ila wapi)
Mabaya anazuia (Eeh Baba hataki)
Oooh..

Kuna muda nilisaka sarafu sipati
Hadi najichukia yoo
Nilipotaka mke mwema nikawa sipati
Akanisaidia Baba

Mabaya anazuia (Mungu hataki)
Mikosi anapangua (Ooh ila wapi)
Mabaya anazuia, Oooh..

If you believe in God many things will be okay
Thankyou Lord of the mercy
Thankyou Baba Nagode 
You bless me each and everyday

Maisha yangekuwa simu ningeweka bando
Nichati niwezavyo
Maisha yangekuwa nyumba ningemimina zege
Idumu iwezavyo (Aaah)

Ila yuko Mungu yaani ni mvunja vyungu
Hata waganga wanamwomba yeye
Au nikakape na marungu 
Yaani niwape watu uchungu 
Yaani ni wakati uko wewe Baba

Nijalie uzima, nimezingirwa kila kona
Maadui wako wengi sana 
Wengine siwezi kuwaona
You are so kindness, you are my bodyguard
You are my policeman siogopi Baba

Mabaya anazuia (Mungu hataki)
Mikosi anapangua (Ooh ila wapi)
Mabaya anazuia (Eeh Baba hataki)
Oooh..

Kuna muda nilisaka riziki sipati
Hadi nakajichukia ooh
Kuna muda nilisaka mke mwema sipati
Akanisaidia Baba

Mabaya anazuia (Eeh Baba hataki)
Mikosi anapangua (Ooh ila wapi)
Mabaya anazuia (Eeh baba hataki)
Oooh..

Baba what more can I say?
Haimaanishi kwamba sikosei
Ila bado unanilinda 
Kila kukicha pumzi hunipa
Baraka tele unanipa
You're so kindness 

Baba what more can I say?
Haimaanishi kwamba sikosei
Ila bado unanilinda 
Kila kukicha pumzi hunipa
Baraka tele unanipa
You're so kindness 

Ecouter

A Propos de "Asante"

Album : Refresh Mind (Album)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020 Hightable Sound
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Dec 15 , 2020

Plus de lyrics de l'album Refresh Mind

Plus de Lyrics de BARNABA

BARNABA
BARNABA
BARNABA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl