ETHIC Chapa Chapa cover image

Chapa Chapa Lyrics

Chapa Chapa Lyrics by ETHIC


Nikichapa naichapanga jo tena
Nikichapa naichapanga jo tena

(Motif di Don)

Na ju sijali hata rangi mi nakemba
Bado gari ni gari kwa dereva
Na ju sijali hata rangi mi nakemba
Bado gari ni gari kwa dereva

Na nikichapa naichapanga jo tena
Chapa naichapanga jo tena
Na nikichapa naichapanga jo tena
Chapa naichapanga jo tena

Peninah na nani na ni otero
Cheki Idah wanadandia akaambie pero
Ka ni kus nataka nikaambie Shiro
Na shiro ananishow ana mashiro

Digithia digithia digithia wana 
Digithia digithia digithia wana 
Digithia digithia digithia wana 
Bro zikishika achanga wana

Na ju sijali hata rangi mi nakemba
Bado gari ni gari kwa dereva
Na ju sijali hata rangi mi nakemba
Bado gari ni gari kwa dereva

Na nikichapa naichapanga jo tena
Chapa naichapanga jo tena
Na nikichapa naichapanga jo tena
Chapa naichapanga jo tena

Pikapika, ringa, lima lima
Piga mimba, chimba, kemba pima
Vimba vimba, lima, zima zima
Simba ringa, bomper, vimba dinga

Mzinga kinda, dinda, vako pinga
Vanga manga, shada, nyanya ndaka
Unaeza lamba, bamba, mbao saka
Chimba chimba, zika, bananana...

Na ju sijali hata rangi mi nakemba
Bado gari ni gari kwa dereva
Na ju sijali hata rangi mi nakemba
Bado gari ni gari kwa dereva

Na nikichapa naichapanga jo tena
Chapa naichapanga jo tena
Na nikichapa naichapanga jo tena
Chapa naichapanga jo tena

Pako ya kondiko na ya kahawa
Safisha rungu alafu maliza na madawa
Usishike tire na manjoti we nawa
Kula kula style ya chura, kula style ya swala

Leo stoki mbata
Leo shang'i inang'aa
Pongi haiezi isha
Naichapa lala
Ati imwage malaa 
Ukichoka lala 
Nikundaka lala
Nawavua kumbe nanga zimeparara

Na ju sijali hata rangi mi nakemba
Bado gari ni gari kwa dereva
Na ju sijali hata rangi mi nakemba
Bado gari ni gari kwa dereva

Na nikichapa naichapanga jo tena
Chapa naichapanga jo tena
Na nikichapa naichapanga jo tena
Chapa naichapanga jo tena

Na ju sijali hata rangi mi nakemba
Bado gari ni gari kwa dereva
Na ju sijali hata rangi mi nakemba
Bado gari ni gari kwa dereva

Na nikichapa naichapanga jo tena
Chapa naichapanga jo tena
Na nikichapa naichapanga jo tena
Chapa naichapanga jo tena

Leo stoki mbata 
Leo shang'i inang'aa
Pongi haiezi isha
Naichapa lala
Ati imwage malaa 
Ukichoka lala 
Nikundaka lala
Nawavua kumbe nanga zimepararara

Watch Video

About Chapa Chapa

Album : Chapa Chapa (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 Ethic Entertainment.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 09 , 2019

More ETHIC Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl