Mdarano Lyrics by BOONDOCKS GANG


Ah taniua, mmmh aaah
(Mavo on the Beat)

Ah mapombe masigara unaeza dhani mi na Nviiri
Mjus jus hapa ujue mi kafiri
Kus kus naeza ingia ndani na kimwili
We ni mhot naeza kuchipo na chilli

Una rangi ya thao lakini sura ya ngiri
We ni mlight utawasha hadi tiri
Kuna poko wa area anasomea Kiriri
Nikulime nipande mbegu rudia mara ya pili

Kasoro robo niharibu tobo
Nifunge chobo zimeshika bozo
Jifanye kigogo upotee kirogo
Ah haha ah cheki

Fatuma ule mroro alitoka msikitini
Kifini alikuwa shada na manjiti
Alikulwa dry ju hakuwa amejipini
Kini hapo wao hukulwa tu maini

Kudaradara na kudaruka
Ni mdaradara nana!(Haishoo)
Ni kudaradara na kudaruka
Ni mdaradara nana!(Haishoo)

Dara darano, dara darano
Dara darano ndani ya daro
Dara darano, dara darano
Dara darano hadi unyoro

Huishi keja bila funiture anataka nikameze
Amebeba nyama na anadai nimsosi
Ako na paka anadai ni doggy
Nichimbe nipande mbegu hadi ajikune

Juu ya kishada ndo hii track usiban aah
Usikazie hewa ndio fan
Vi-vijana piga kuni ate choche
Mnasema toa kutu mpe proteins

Dem hayuko box na ashafinywa
Alidai kichwa tu akalimwa
Ukimarinate usizime
Marash ni ya njoti kejani si ya futhe

Kudaradara na kudaruka
Ni mdaradara nana!(Haishoo)
Ni kudaradara na kudaruka
Ni mdaradara nana!(Haishoo)

Dara darano, dara darano
Dara darano ndani ya daro
Dara darano, dara darano
Dara darano hadi unyoro

Aaah uwachome na kingoto
Aaah Maddox

Zangu zimeshika ka sabuni
Osha mangeus ndio uchangie uchumi
Nyama choma yangu nimeweka chumvi
Chai ninamwaga haihitaji hadi kichungi

Round ya kwanza kashaanza kuwika
Round ya pili kajaba kametushika
Round ya tatu ka ni mtaro ni kuchimba
Round ya nne umekula bila kinga

Simama imara tu kama simba
Waru na mara cheki jo utashiba
Neke wena wara na ng'ang'o ni mzinga
Kama hufiki bei hasara ni ya wale maninja

Kudaradara na kudaruka
Ni mdaradara nana!(Haishoo)
Ni kudaradara na kudaruka
Ni mdaradara nana!(Haishoo)

Dara darano, dara darano
Dara darano ndani ya daro
Dara darano, dara darano
Dara darano hadi unyoro

Watch Video

About Mdarano

Album : Modo Man (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Black Market Records.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 17 , 2020

More lyrics from Modo Man album

More BOONDOCKS GANG Lyrics

BOONDOCKS GANG
BOONDOCKS GANG
BOONDOCKS GANG
BOONDOCKS GANG

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl