ASLAY Kasepa cover image

Kasepa Lyrics

Kasepa Lyrics by ASLAY


Amekitonesha tena
Kile kidonda kilochoanza kupona
Ah amenichanganya sana
Nahisi kudaka amegusa mtima ah

Ameniumiza jamaa 
Amenikumbusha yale mambo ya nyuma ah
Maumivu yameanza tena
Anivunja vunja yaani mwili mzima

Hafai hafai
Kwenye mboni za macho
Katia pilipili
Nishai

Alisema amekuja kunibadilisha
Cha ajabu amekuja amebadilika
Amebadilika kabadili maisha akasepa

Alinichuna chuna tu
Alinipuna puna akaniacha juu juu
Kwenye macho yangu amekuwa kitungu
Nikimuona yeyye nabaki kulia tu

Kasepa, kasepa kasepa
Kasepa na moyo wangu
Amechukua, ameweka waah eeh
Kasepa na moyo wangu

Kaondoka
Kasepa na moyo wangu
Amechukua, ameweka waah eeh
Kasepa na moyo wangu

Ooh muulizeni kwangu alikosa nini
Muulizeni kasoro yangu kitu gani
Ooh mwambieni mwenzako afanye nini
Ili atambue aelewe nateseka kiasi gani mama

Kwenye maisha yangu alifuata nini
Haya niliyasahau mimi toka zamani
Namuita Israeli wa maisha yangu, jamani mimi 
Haya niliyasahau toka zamani

Kasepa, kasepa kasepa
Kasepa na moyo wangu
Ameniumiza mie
Kasepa na moyo wangu

Kasepa na moyo wangu mie
Kasepa na moyo wangu
Oh kaniacha peke yangu mie
Kasepa na moyo wangu

Ameniteketeza, ameniumiza
Ameniteketeza (Kasepa na moyo wangu)
Ameniumiza (Kasepa na moyo wangu)

(Mafeeling Record

Watch Video

About Kasepa

Album : Kasepa (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 23 , 2020

More ASLAY Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl