ASLAY Mama cover image

Mama Lyrics

Mama Lyrics by ASLAY


Mama jamani mama, mama jamani
Mama jamani mama, mama jamani

Natamani nikufuate nikupe hata mkono
Lakini ndo siwezi
Wenye wasiwasi we waziba midomo
Unahitaji pongezi

Kazi yaenda kasi sijaona kikomo
Mama unaupiga mwingi
Hatuna wasiwasi tunalisoma somo
Mama si hatukupigi we

Mama pambana, achana na maneno yatakuchanganya
Visabina zabina ni wengi mama
Hata uwape nini watakusengenya 
Binadamu haturidhiki mama Samia

Oooh kazi iendelee
Tupate mapesa na tusherekee
Siku hizi machinga ni mapedeshe
Unapendwa na watoto vijana wazee
Wanakupenda wee

Mama, mama mama, mama Samia Suluhu
Mmemuona mama, mama Samia Suluhu
Rais wetu mama, mama Samia Suluhu
Vigelegele kwa mama, mama Samia Suluhu

Mama kwa kweli unapambana
Kama ni kiu basi we ni maji, twanenepeana
Mama tunakupenda sana
Umewapa nguvu na wawekezaji wanashindana
Mpaka raha

Najivunia kuzaliwa Tanzania
Najivunia pia rais wangu ni Samia
Mama kokoto, mama changanu
Hesabu za bara na pwani zote unazijua

Kila utokapo mi mwenzako nakuombea mama wee
Mama, jamani mama mama jamani
Chochote utakacho inshallah 
Mungu atakusimamia mama Samia wee
Mama, jamani mama mama jamani

Oooh kazi iendelee
Tupate mapesa na tusherekee
Siku hizi machinga ni mapedeshe
Unapendwa na watoto vijana wazee
Wanakupenda wee

Mama, mama mama, mama Samia Suluhu
Mmemuona mama, mama Samia Suluhu
Rais wetu mama, mama Samia Suluhu
Vigelegele kwa mama, mama Samia Suluhu

Jana, jamaa, vijana tunapambana
Ndo maana mama atupa fursa sana
Laana laana, tukimdharau mama
Kwa maana mama, hakuna kama mama

Watch Video

About Mama

Album : Mama (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 29 , 2021

More ASLAY Lyrics

ASLAY
ASLAY
ASLAY
ASLAY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl