Do Me Lyrics by NANDY


Chocolate kalambaje?
Na hata sielewi kanipata pata
Kwani kanipata aje
Ameniweza weza nimenata nata

Kwa penzi nakupenda 
Na nashindwa kukukataa
Ndo ujinga huo

Umeniweza weza 
Umenipa limbwata
Ndo nini hivyo

Ukinipata penzi basi pia zima data
Ndo chips hizo
Na vinyama nyama pilipili washa
Ndo tamu hivo

Baby walahi 

Do me, do me, do me
Do me, do me, do me
Naandaa kiberiti niwashe moto
Baba leta ukuni

Do me, do me, do me (Do me aii)
Do me, do me, do me (Do me aii)
Naandaa kiberiti niwashe moto
Baba leta ukuni (Do me aii)

Nafikiri uliumbwa 
Kwa ajili yangu mahususi
Na kila Nikikutazama
Nafaa nifikirie harusi

Nafiki kutumia shela
Nafikiri kuhusu suti
Sifikirii kutumia kinga
Hata waseme una virusi

Viuno vingi kama Christian Bella
Peace ya msela 
African princess na ndela
Hata warika na mapunga waje kula mchele
Si wanatoa siri za nyuma twawapa siti za mbele

Mapigo ya moyo mama yanakwenda mbio
Nisamehe kama napokwona sio
Mapigo ya moyo mama yanakwenda mbio
Nisamehe kama napokwona sio

Vile kata, kata ukapinda mgongo
Uliposema tangu ukawachanganya wabongo
Vile sikupakii mkenya wala sikupakii mcongo
Labda arushe matofali maana nishazoea madongo

Do me, do me, do me (Do me aii)
Do me, do me, do me (Do me aii)
Naandaa kiberiti niwashe moto
Baba leta ukuni (Do me aii)

Do me, do me, do me (Do me aii)
Do me, do me, do me (Do me aii)
Naandaa kiberiti niwashe moto
Baba leta ukuni (Do me aii)

Watch Video

About Do Me

Album : Do Me (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 17 , 2020

More NANDY Lyrics

NANDY
NANDY
NANDY
NANDY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl