Drop Zone Lyrics by BREEDER LW


Nikiamka, nawasha ngwai, napiga ngasha
Nakunywa ngiayi, naasha ndai
Nadunda Nai, zoza watoto after kirai
Ziko kwa drop zone hizo ma mali
Cheki kwa drop zone, aki walai
Aki walai, aki walai
Cheki kwa drop zone, aki walai

Nikiamka, nawasha ngwai, napiga ngasha
Nakunywa ngiayi, naasha ndai
Nadunda Nai, zoza watoto after kirai
Ziko kwa drop zone hizo ma mali
Cheki kwa drop zone, aki walai
Aki walai, aki walai
Cheki kwa drop zone, aki walai

Wanasema dosh siku hizi ume change 
Ushaienda na msupa tangu lini picnic?
Cops waliskia me ni big deal
Nika have ku cryia Jah me ni pickney, yoo
Beast wakini pick me
Jela ziko huko kwa stairs ndio ntalala nditni

Ntalala na ma felon wenye wanaugua acne
Me bado king ku finesse
Njege wana njaro chafu is my character trait
Mlihepa na sikuja na msee
Nilipull na scrap in my pet, ayy we
Sikuangi na stress we baki mtaa 
Udetect mahali dick yangu ina stretch
Foreign ndio bei, shout out Diani 
Me siezi enda surfing Dubai

Mambang'a washainileteanga 
Za kijicho pevu tangu chuo
Kuna siku opp alini target 
Na mtoo akanimiss hadi nguo
Ever since football
Tukiguzanga huko maisa na manucho
Nakumbukaa tukiendea zoot kwa gunia
Ungenotice ni unusual

Si hukata keg ata pesa turokote
Now yuko kwa gang, ndugu wa toka nitoke
Nilienda kwa plug akani charge
Naskia ye ndio ako na tokkens
Unabonga tuna beef, usibonge matope
Unatakaje, si tuieke live in the open

Nikiamka, nawasha ngwai, napiga ngasha
Nakunywa ngiayi, naasha ndai
Nadunda Nai, zoza watoto after kirai
Ziko kwa drop zone hizo ma mali
Cheki kwa drop zone, aki walai
Aki walai, aki walai
Cheki kwa drop zone, aki walai

Nikiamka, nawasha ngwai, napiga ngasha
Nakunywa ngiayi, naasha ndai
Nadunda Nai, zoza watoto after kirai
Ziko kwa drop zone hizo ma mali
Cheki kwa drop zone, aki walai
Aki walai, aki walai
Cheki kwa drop zone, aki walai

Mashida zangu ni 99 na 95 ni za ganji walai
Zingine nne ni vile ntarise
Mali unadai, cheza na price
Breeder ni gent ki james bond
Na para za ki ragga muffin kwa chuom

Cheza na rieng na ulay low 
Aliongeza nyege ju ya moshi ya ndom
Drop zone imejaa wasitiri
So na supply kamili kamili
Mbogi iko ready unrully and willing
Tafadhali we usicheze na mimi

Mbota si rolly ni G-shock
Ju naamini mwafrika ndio Kristo
Jesus piece kwa hio shingo
Unaogopa kusota ama kifo
Jifunze commerce ndio uongeze commas
Breeder kwa verse, Dosh kwa chorus
Niliapa siezi kuwa beggar Nairobi

Si heri nipate pesa na hii hobby
Si ni TK, nishauliza mbogi do you copy?uh
Si ni given, niko mboka jioni kama watchie
Nikiwa mless nilikua naogopa ma doggy
Saa hii nadarwa na mabitch ka dolly
Nilifikaje hapa bila wao ku notice
Time is now na jina ni Breeder, konkii

Nikiamka, nawasha ngwai, napiga ngasha
Nakunywa ngiayi, naasha ndai
Nadunda Nai, zoza watoto after kirai
Ziko kwa drop zone hizo ma mali
Cheki kwa drop zone, aki walai
Aki walai, aki walai
Cheki kwa drop zone, aki walai

Nikiamka, nawasha ngwai, napiga ngasha
Nakunywa ngiayi, naasha ndai
Nadunda Nai, zoza watoto after kirai
Ziko kwa drop zone hizo ma mali
Cheki kwa drop zone, aki walai
Aki walai, aki walai
Cheki kwa drop zone, aki walai

Watch Video

About Drop Zone

Album : Bazenga Mentality (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 18 , 2021

More lyrics from Bazenga Mentality album

More BREEDER LW Lyrics

BREEDER LW
BREEDER LW
BREEDER LW
BREEDER LW

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl