BREEDER LW Bei Imepanda cover image

Bei Imepanda Lyrics

Bei Imepanda Lyrics by BREEDER LW


(Eyoo Metro suka Doba!)

Yo ukipanda ligi unafaa kujigamba
Kuflex huwaga gharama
Shawty atense sura ni safi haitaki mascara
Depo zii baada ya janta leta mabramba 

Wakisema unajifanya si kwa ubaya 
Bei imepanda, bei imepanda
Bei imepanda si kwa ubaya
Bei imepanda 

Wakisema unajifanya si kwa ubaya 
Bei imepanda, bei imepanda
Bei imepanda si kwa ubaya, bei imepanda
Baada ya janta leta mabramba
Si kwa ubaya bei imepanda 

Bei imepanda design ya irori
Uswahilini husema bei ni ghali
Staki hio mchezo ya ndae ni ndae
Bei imepanda na pre Ferrari

Ka ni kurau ni very early
Kuzikusanya ni daily habit
Utadhani naiga Van Persie bei ilipanda akatoka Arsenali
Bei imepanda lakini ya PS5 tunangoja ishuke
Denri nichi hazilali kwa kamba ama utazikosa shoke
Bei imepanda najifanya bubu ka stori hubongi ya pake
Bei ilipanda nikatoka msupa nikaanza kusuka mathake

Campo arif second year alisare 
(Na ni kwa nini?) Fee lipanda 
Kukinyesha we chorea manganya
(Na ni kwa nini?) Fare hupanda
Bei imepanda nadai Tanasha
(Na ni kwa nini?) Ndo nikuwe step-father

Niko na kwetu mi nicha usonga
Nikiukata siwezi zikwa Lang'ata 
Nasipigi lap ka si ganji imenitoa hapa
Panda bei mpaka hater aseme unafanya kazi poa
Ka ulipata Ronoh uliza nani alikohoa 
We ni fake ondoa naona hujatoboa
Ngoma ka imeshika unakatika sure
Drip ikikubali we mwagika lowa
Ukipata ayela na amejipa oa
Na ni smooth amenyoa basil atabomoa
Statue mi nataka isundwe hapo kando ya bweha
Man a heavy weight mi ni black bela hoya
Hapa kila kesi tunasolve bila lawyer
Chai si ya Edgar chai ni ya soya 

Ukipanda ligi unafaa kujigamba
Kuflex huwaga gharama
Shawty atense sura ni safi haitaki mascara
Depo zii baada ya janta leta mabramba 

Wakisema unajifanya si kwa ubaya 
Bei imepanda, bei imepanda
Bei imepanda si kwa ubaya
Bei imepanda 

Wakisema unajifanya si kwa ubaya 
Bei imepanda, bei imepanda
Bei imepanda si kwa ubaya, bei imepanda
Baada ya janta leta mabramba
Si kwa ubaya bei imepanda 

[Ssaru]
Bei imepanda nilipe ndo nije matanga
Mi nakuita mshamba ka unangoja nirudi moshatha
Zile mboka mi napanga usinilipe ni ka doh unachanga
Ati bob, bob ey buda mi nitakupanga

Hii pete ilipatanga chanda
(Na ni kwanini?) Bei imepanda
Usiku ni kazi napanga
(Na ni kwanini?) Sina kitanda

Safari nasonga na nganya ambia mahater wafunge mikanda
Hii doba imekuja kuhanya venye inatesa ni vol kupanda
Vol kupanda kwenye videsa nachocha na TK
Bars on bars kutamba vile ni kubaya tumeleta DK
Fresh utadhani ni PK, nimeserve we ngoja nipike
The Don mkisema ni CK, kenye namean ni buda nishike

Mi simba lakini ni jike na bado nawinda so bana nipishe
Hii kitu lazima ijipe na mi niko macho hadi jimbi liwike
Ka ni collabo sipeani sare ju mi pia nilikanja The Weeknd
Msikurupukwe ndo ati mi niwike naua ndo nyinyi mzike

So bei imepanda buda nasema ati bei imepanda
Na bei ikipanda mi huwa nachachisha kama makanga
Nilisare kibanda walai ata heri nikose kumanga
Bei imepanda wacha kulia uko dimanga

Ukipanda ligi unafaa kujigamba
Kuflex huwaga gharama
Shawty atense sura ni safi haitaki mascara
Depo zii baada ya janta leta mabramba 

Wakisema unajifanya si kwa ubaya 
Bei imepanda, bei imepanda
Bei imepanda si kwa ubaya
Bei imepanda 

Wakisema unajifanya si kwa ubaya 
Bei imepanda, bei imepanda
Bei imepanda si kwa ubaya, bei imepanda
Baada ya janta leta mabramba
Si kwa ubaya bei imepanda 

Watch Video

About Bei Imepanda

Album : Bei Imepanda (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 TK (Tough Klan)
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 03 , 2021

More BREEDER LW Lyrics

BREEDER LW
BREEDER LW
BREEDER LW
BREEDER LW

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl