ZUCHU Kwaru cover image

Kwaru Lyrics

Kwaru Lyrics by ZUCHU


(Ayolizer)

Mmmh aaah aah, mmmh aaah
Aaaah, aah

Roho ingekuwa na macho ungejionea
Moyo haufanyi kificho ukiotea
Mimi kifigiso nacho ungeongea
Mwili wangu rojorojo nanyong'onyea

Chungu nilichopika wamepakua wenzangu
Huruma napokutishwa wamechukua wezangu

Na kitabu chetu cha mapenzi
Kurasa wamechanachana
Hazisomeki tena tenzi 
Vimepoteza maana

Mpofu moyo wangu
Ulishindwa ona
Hukuandikwa wa kwangu
Limenikaba nalitema

Kwaru kwa kwaru kwaru
Kachukua kisu ye anaukwarua
Kwaru kwa kwaru kwaru
Moyo wangu unaumia

Kwaru kwa kwaru kwaru
Ye kwa nguvu anaukwarua 
Kwaru kwa kwaru kwaru
Jamani moyo wangu unaumia

Eeh langu tatizo
Nachuna najimaliza
Mi nakesha kumwaza
Naweweseka lake jina, ooh jina

Oooh basi kwa unyonge 
Najikaza niache kulia
Maana kwake bahati sina, ooh sina

Maumivu ameipora furaha yangu
Oooh amekwenda nayo
Na zangu mbivu zimeniozea
Hasara kwangu, yatapita hayo

Mpofu moyo wangu
Ulishindwa ona
Hukuandikwa wa kwangu
Limenikaba nalitema

Kwaru kwa kwaru kwaru
Kachukua kisu ye anaukwarua
Kwaru kwa kwaru kwaru
Moyo wangu unaumia

Kwaru kwa kwaru kwaru
Ye kwa nguvu anaukwarua 
Kwaru kwa kwaru kwaru
Jamani moyo wangu unaumia

Watch Video

About Kwaru

Album : I am Zuchu EP / Kwaru (EP)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Wasafi Records.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 13 , 2020

More lyrics from I Am Zuchu album

More ZUCHU Lyrics

ZUCHU
ZUCHU
ZUCHU
ZUCHU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl