ZUCHU Wana cover image

Wana Lyrics

Wana Lyrics by ZUCHU


(Ayolizer)

Hunywi maji yakapita
Mi nkigunu na ushafika
Jina gani hujaniita beiby

Ushauri hutaki kabisa
Eti uniache nina visa
Vya Firauni vya Musa vingi

Nikilala naota kama unaniita
Nafumba macho, navuta shuka
Naona napumbazika

Unishikapo ndipo hapo
Nafarijika
Mambo yako, mahaba yako
Ndo maana natononoka wee

Wana wana wana wana
Pale tulipokutana
Mikono tukapeana
Macho yakatizamana

Wana wana wana wana
Pale tulipokutana
Namba kubadilishana
Nafsi kukubaliana aah!

Nzi kidonda nimefia
Wahenga walisema 
Maradhi yaweza yasiwe na dawa
Kwa penzi yakapona

Rabii, amenipa nusura
Jeuri sina tena
We ndo ganzi, umenimaliza hasira 
Siumwi wakisema

Nidekeze, niliwaze
Washushuke wanyamaze
Nikuna nibembeleze
Usinipepee nipulize

Watume washituke 
Roho zao ziwaume
Mi nipike ule chote
Unenepe upendeze 

Wana wana wana wana
Pale tulipokutana
Mikono tukapeana
Macho yakatizamana

Wana wana wana wana
Pale tulipokutana
Namba kubadilishana
Nafsi kukubaliana aah!

Ukitaka uniweze nibebe wewe
Ukipenda unibimbe unikumbatie
Hata watu watuone wakahadithie
Nitambulishe niringe niwavimbie

Ukitaka uniweze nibebe wewe
Ukipenda unibimbe unikumbatie
Hata Lizer atuone wakahadithie
Nitambulishe nitambe niwavimbie

(Wasafi)

Watch Video

About Wana

Album : Wana (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Wasafi Records.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 10 , 2020

More lyrics from I Am Zuchu album

More ZUCHU Lyrics

ZUCHU
ZUCHU
ZUCHU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl