...

Huku Lyrics by Zee Cute


(Jeydrama on the beat)

Sina ujanja, penzi liko hot like fire ahh

Kwa hili penzi nishada da ta ta ta ta

Nikiwa naye nawaza ujinga

Mapenzi fulani mara pingu kanifunga

Na kama gari lishawa ka waka ka ka ka

Utamu wa big G oh darling

Unavyonipatia utamu hatari

Kwenye hili huba we hodari

Acha tu nikuweke moyoni

Utamu wa big G oh darling

Unavyonipatia vitu hatari

Sakafuni hafi juu ya dari

Achatu nikuweke moyoni

Hivyo hivyo usiniache nishike

Huku huku (nataka)

Huku huku (niguse) huku Baby

Leo nibebe tucheze nishike

Huku huku (nataka)

Huku huku (niguse)

Huku huku ouh oh oh

Uh yeah eh eh yeh

Chinga on this one yeah

Yeah yeah

Baby nikushike wapi utaposikia raha

Majina yote uniite mimi (Honey sweetie)

We si ndio chombo ya fundi safi

Sichagui pa kupitisha ulimi (neaty)

Waambie kwetu tunakata keki kila siku night

Na hatuzimi taa full set light

I like it when you're wet youre my moonlight

Kidoti kama jokate lakini so tight yeah

Baby baby unanichanganya kwani unakuja kujaje

Niko hapo azonto

Baby baby unanichanganya kwani unafanya fanye tunavyokesha mapopo

Baby jipinde hivyo hivyo nikushike

Huku huku na huku

Huku huku Huku (baby)

Leo nibebe tucheze nishike

Huku huku (nataka)

Huku huku (niguse)

Huku huku ouh oh oh

Nikushike wapi baby

Wapi baby

Chinga Konde music worldwide

(Buffalo)

Oh nah nah nah

(The mixkiller)

Watch Video

About Huku

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright : © 2025 The Musiq Market. All rights reserved.
Added By : Farida
Published : May 24 , 2025

More Zee Cute Lyrics

Zee Cute

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl