Korasi Lyrics by FID Q


Nianze kwa kusema asante kwa kukupata beiby
Ungesema hunitaki ningedata maybe
Mie niliwatosa hadi washikaji ili kukufuata beiby
Na unavyonikosha zaidi ya maji nimechakacha beiby

Beiby you make me feel like a star
More than fame, more than fast cars
Nikiwa nawe ninafly sky high 
Kama nimepiga ssshh, Napepea so high

Sio longo longo love ya uongo na kweli
Longo longo haina mchongo love, moyo wangu ushafeli
Bila hongo mbongo halienzi, hayo ni mapenzi ya kitapeli
Hivyo hakuna manfongo ataeleta ushemeji wa Singeli

Hiki kitu ni real sio kitu feki
Unavyofanya nafeel kudadadeki
Tunapiga madeal pata masenti
Home ni kuchora saba ka napiga deki

Koorasi, koorasi
Tunataka koorasi
Koorasi, koorasi
Tunataka koorasi

Koorasi, koorasi
Tunataka koorasi
Koorasi, koorasi
Tunataka koorasi

Hili penzi linanifanya mpumbavu
1+2 sielewi watchu have
Wengi wakija ninawapiga makavu
Ila kwako nilivyodata ninakupa utamu kavu

Yule wakugomba ni mizenguo furaha hataki
Nikabaki kama Longomba funguo nitaipata wapi?
Akiwa sawa, mnaenda sawa tu mnapeta
Akiwa vibaya hugeuka dawa isiyonyweka

I know am Gangsta, nipende hivyo hivyo
Sitafunga kanga wala dera sina hizo
Tutapiga kazi, tuwe wote kwenye hustle
Bonnie & Clyde mixer pesa kwenye macho

Ninakuita jino bovu kila mtu anataka akung'oe
Unaniita hofu kila mtu anataka anitoe
Hawataki nikuoe ili tutimize nusu ya dini
Waambie wapige mswaki ndipo wabonge kuhusu mimi

Koorasi, koorasi
Tunataka koorasi
Koorasi, koorasi
Tunataka koorasi

Koorasi, koorasi
Tunataka koorasi
Koorasi, koorasi
Tunataka koorasi

Tunataka koorasi

Watch Video

About Korasi

Album : Korasi (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 08 , 2019

More FID Q Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl