...

Nikupe Lyrics by Zee Cute


Zee baby

Ahaaa

Enjini imefia hapa nimezima

Hatoki mtu kwa Mkapa nakufa mazima

Nimejitoa sadaka mwili mzima

Kwangu sina mipaka pita kwenye mtima

Dereva wangu niendeshe

Moyo wangu hauna bima

Mapenzi nikopeshe

My Cherry (my Cherry)

My wangu (my wangu)

Wangu wa kweli (wa kweli)

Roho yangu (roho yangu)

Nikupe

Sina mali moyo chukua (nikupe)

Maana mapenzi huwezi nunua (nikupe)

Roho yangu moyo chukua (nikupe)

Maana mapenzi huwezi nunua baby

Asali asali si tamu (ah ah)

Kuliko penzi lako baby si tamu (ah ah)

Ni hatari kukuacha haramu (ah ah)

Mimi nawe baby damu damu

Mimi sijui nini wataniambia

Mwenzako mimi wewe ndio unanijulia

My Cherry (my Cherry)

My wangu (my wangu)

Wangu wa kweli (wa kweli)

Roho yangu (roho yangu)

Nikupe

Sina mali moyo chukua (nikupe)

Maana mapenzi huwezi nunua (nikupe)

Roho yangu moyo chukua (nikupe)

Maana mapenzi huwezi nunua baby

Watch Video

About Nikupe

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright : © 2025 The Musiq Market. All rights reserved.
Added By : Farida
Published : May 24 , 2025

More Zee Cute Lyrics

Zee Cute

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl