YOUNG KILLER The Waiting is Over cover image

The Waiting is Over Lyrics

The Waiting is Over Lyrics by YOUNG KILLER


Eyoo ni kama kifo si rembi
Anytime natokea sio kwamba sikupendi
Ila sitaki mazoea
Nikikukumbusha tu kua mwanga kuna giza
So ukitaka vyote ving'ae hayo sio maisha

The waiting is over 
Wanangu wa mtaa walimiss Slogan
Mashuti fulani ya mbali kama Kelvin Yondani
Alafu kwa Air Jordan mwendo wa kutoa nikipokea
Hiyo usinitishie kutamba
Kwa hasira ndigu yangu utajinyea
Thank for come unaweza kwenda, leave me alone
Tajiri ubaki tajiri akijifanya masikini

Na huo ni ukweli wa moyoni utabaki kuwa siri
Masikini hubaki masikini akijifanya tajiri
NI akili kwenye kichwa nani? Anantisha na Mungu yupo
Nauli yenu inaishi hapa kote usifiki huko
Ni misukosuko part two vile bongo basi tu
Ila kwa sasa hakuna yeyote anayenishinda kurap

Eeh yoh makubwa madogo yana nafuu
Wanasound ka wana flu yaani wali ndizi
Where's does where's do
Ebu nipe pass ninyooshe miguu

---
---

Watch Video

About The Waiting is Over

Album : The Waiting is Over (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 18 , 2021

More YOUNG KILLER Lyrics

YOUNG KILLER
YOUNG KILLER
YOUNG KILLER
YOUNG KILLER

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl